Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Shirika la ndege la Tanzania limetwaa tuzo ya ubora na maendeleo ya mwaka 2022 barani Afrika na tuzo hiyo imekabidhiwa kwa CEO Ladislaus Matindi kwa niaba ya shirika.
My take.
Chadema walipinga ufufuaji wa shirika hili ,leo limetoa CEO bora barani Afrika!
R.I.P Magufuli
My take.
Chadema walipinga ufufuaji wa shirika hili ,leo limetoa CEO bora barani Afrika!
R.I.P Magufuli