Mods Angalieni Uwezekano wa Kurudisha Application ya Zamani ya JF

Mods Angalieni Uwezekano wa Kurudisha Application ya Zamani ya JF

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
7,480
Reaction score
17,413
Niliona posts kadhaa zikielezea shida ya new JF application, sikuwa naelewa. Baada ya ku-download ndiyo nimegundua.

Kwa kweli hii new application ya JF, inaleta ugumu namna ya kuchangia, kwa sababu unapoandika, huoni hata unachoandika, ukifungua uangalie ulichoandika, kama umekosea, ukitaka kurekebisha, unapoanza kufanya marekebisho, huoni unachoandika.

Kwa vyovyote, hii new application itakuwa ililenga kuboresha na kurahisisha, lakini kwa bahati mbaya kuna maeneo imeleta ugumu badala ya urahisi.

Mods, kama inawezekana, tunaomba yafanyiwe marekebisho makubwa kwenye hii new application, maana, kwa namna ilivyo, ni tatizo.
 
Uko sahihi, kwamtu ambaye aliwahi kutumia app ya zamani hii ui yake haiku poa. Alafu JF app ni app ambayo naona huwa inachelewa kufanyiwa updates
 
Hii ni kweli kabisa.

JF App mpya ina ugumu kwa msomaji/mchangiaji. Mfano ukitaka kusubscribe post ili uipate kwa urahisi utakapohitaji kuisoma tena haiwezekani.(Au hili tatizo lipo kwangu tu? mwenye kuelewa anisaidie)

Pia zile post nilizosubscribe kwenye JF App ya zamani nashindwa kuziona kwenye hii mpya.

Hayo ni baadhi tu ya mapungufu, yapo na mengine zaidi.
 
Km hawataki hii ibadilishwe, bas wairudishe ya zamani, ili kila mtu ajue anataka kutumia ipi, hii inachosha na kuboa kabisaa,
😏😏
Tuliokuwa tunaponea tapatalk nako siku hizi hiwezi kulogin, hawa jamaa wanajiamlia sana mambo, na hili ndo tatizo la monopoly, hawana hofu yeyote wanajua tutaingia tu jf!
 
Kila JF wakija na app mpya lazima wa kutaka ya zamani wawepo🤣🤣
 
Niliona posts kadhaa zikielezea shida ya new JF application, sikuwa naelewa. Baada ya ku-download ndiyo nimegundua.

Kwa kweli hii new application ya JF, inaleta ugumu namna ya kuchangia, kwa sababu unapoandika, huoni hata unachoandika, ukifungua uangalie ulichoandika, kama umekosea, ukitaka kurekebisha, unapoanza kufanya marekebisho, huoni unachoandika.

Kwa vyovyote, hii new application itakuwa ililenga kuboresha na kurahisisha, lakini kwa bahati mbaya kuna maeneo imeleta ugumu badala ya urahisi.

Mods, kama inawezekana, tunaomba yafanyiwe marekebisho makubwa kwenye hii new application, maana, kwa namna ilivyo, ni tatizo.

View: https://vt.tiktok.com/ZSq2ay9yC/
 
Niliona posts kadhaa zikielezea shida ya new JF application, sikuwa naelewa. Baada ya ku-download ndiyo nimegundua.

Kwa kweli hii new application ya JF, inaleta ugumu namna ya kuchangia, kwa sababu unapoandika, huoni hata unachoandika, ukifungua uangalie ulichoandika, kama umekosea, ukitaka kurekebisha, unapoanza kufanya marekebisho, huoni unachoandika.

Kwa vyovyote, hii new application itakuwa ililenga kuboresha na kurahisisha, lakini kwa bahati mbaya kuna maeneo imeleta ugumu badala ya urahisi.

Mods, kama inawezekana, tunaomba yafanyiwe marekebisho makubwa kwenye hii new application, maana, kwa namna ilivyo, ni tatizo.
Truth be told, the new edition is a botched improvement. Nilifanya makosa kuipakua. Sasa nimelazimika kuwa natumia web browser kuingia JF.
 
Naunga mkono hoja! Hata pa ku delete kama umekosea kuandika hapapo! Ukiandika, keyboard ya simu inakuzuia huoni unachoandika!
Irudisheni app ya zamani or otherwise ifanyieni modification hii mpya.
 
tunaotumia web browser mwaka wa 8 huu tunawatazama tu kwa huruma huku tukitabasamu kila mkileta malalamiko yenu..!😁😁
 
Mimi najuta kuifuta ile app ya zaman kwa sasa naingilia operamin ndo napata urais
 
hii app mpya niliipakua na baada ya kuona ina mapungufu, nikaifuta. matumia google au chrome kuingia jf
 
Ile ya zamaninl ni unyama mwingi sana yani unascroll chini juu bila shida ila hii ya Sasa ni shida tupu na mbaya zaidi ukidownload Ile ya zamani unashangaa baada ya siku kadhaa inarudi hii mpya yani Hadi zile apk file zinabadilika
 
Back
Top Bottom