Modric Hajatuachia deni; Hongera kwa Morocco,haijawahi kutokea Taifa kama wao katika ukanda wa CAF

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,734
6,292
Luca Modric amehitimisha huduma yake kwa timu ya Taifa ya Croatia. Hakika ameitendea haki jezi hiyo na pia heshima,adamu na ustaarabu wake utakumbukwa daima uwanjani. Tumejionea leo mapenzi ya wapenzi wa mpira kwa FUNDI huyu.
8DFC5A95-6C0A-4E57-9D93-780726F99228.jpeg


Niende moja kwa moja kwenye Mada kuu:

Ulitokea mgogoro uliosababisha chuki na malalamiko toka kwa mataifa ya africa hususan yasiyo ya 'kiarabu' baada ya kauli za utata toka kwa mchezaji wa Morocco kuhusu ushindi wao wa kufuzu kwenda Robo fainali.
BB0894E3-C2D8-452C-BB2D-980862EBE3EA.jpeg


Hili lilipelekea waafrika kuiombea mabaya Morocco na kuibeza hasa baada ya kushindwa nusu fainali. Inshort huu ni ujinga uliopitiliza kwani kila taifa lilipaswa kujitegemea na kutegemea kuungwa mkono na yeyote.

Ikumbukwe waafrica tunaunga Mkono mataifa mbalimbali hususan ya Ulaya na S.America bila kuangalia asili yetu.

Ni wakati sasa wa kuipongeza Morocco kwa mafanikio makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na timu yeyote ya Africa tangu wakati wa kina Roger Milla Yekin, Song, Makanak, Etoo, Kanu, Okocha, Abou Trika, Mboma, Drogba na wengineo. Wala si Yaya Toure, Salah au Sadio Mane. Si South Africa ya kima Macarthy, Mark Fish, Tshabalala au Nomvete. Si kina Chippo wala Moustapha Hadji. Wala si kwa Asamoah Gyan na the likes of Michael Essien the Great, Appiah na Boateng. Wala si wale kina Suleiman Camara na kizazi cha El hadj Diouf , Fadiga marehemu Diop ,Cisse na hata Nigeria ya Mikel Obi and Co. Wapi Riyadh Mahrez and Co?. NI MOROCCO YA HAKIMI, ZIYECH AND CO (KIZAZI CHA DHAHABU CHA ARAB-AFRICAN DESCENT)

Kwa kifupi timu hii ndo tumu Bora kuwahi kutokea katika Historia ya Soka kwa ukanda wa CAF na mafanikio haya yataishi.

Chuki wachukiwe lakini haki yao wapewe.

HONGERA TEAM MOROCCO KWA KUUVUNJA MWIKO ULIOWASHINDA WENGI.
 
Mbona tunalazimishana timu ya kupenda?, mimi ninaitakia safari njema France, Croatia na Simba.
Wewe endelea na waarabu wako na waislamu wa Morocco kuwapongeza maana hilo ndo kundi pekee wanalolitambua Wamorocco
 
Haitaondoa Ukubwa wa rekodi yao.

Ndo kizazi bora cha soka kwenye Bara lenu.

Ndo kizazi bora cha soka kwa nchi za kiarabu.

TUSILAZIMISHE UNDUGU
Pongezi inatakiwa zutolewe na waarabu na waislam, tusio kundi hilo tunaipongeza France na ndg zake Modric
 
Luca Modric amehitimisha huduma yake kwa timu ya Taifa ya Croatia. Hakika ameitendea haki jezi hiyo na pia heshima,adamu na ustaarabu wake utakumbukwa daima uwanjani. Tumejionea leo mapenzi ya wapenzi wa mpira kwa FUNDI huyu.
View attachment 2450214

Niende moja kwa moja kwenye Mada kuu:

Ulitokea mgogoro uliosababisha chuki na malalamiko toka kwa mataifa ya africa hususan yasiyo ya 'kiarabu' baada ya kauli za utata toka kwa mchezaji wa Morocco kuhusu ushindi wao wa kufuzu kwenda Robo fainali.
View attachment 2450215

Hili lilipelekea waafrika kuiombea mabaya Morocco na kuibeza hasa baada ya kushindwa nusu fainali. Inshort huu ni ujinga uliopitiliza kwani kila taifa lilipaswa kujitegemea na kutegemea kuungwa mkono na yeyote.

Ikumbukwe waafrica tunaunga Mkono mataifa mbalimbali hususan ya Ulaya na S.America bila kuangalia asili yetu.

Ni wakati sasa wa kuipongeza Morocco kwa mafanikio makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na timu yeyote ya Africa tangu wakati wa kina Roger Milla Yekin, Song, Makanak, Etoo, Kanu, Okocha, Abou Trika, Mboma, Drogba na wengineo. Wala si Yaya Toure, Salah au Sadio Mane. Si South Africa ya kima Macarthy, Mark Fish, Tshabalala au Nomvete. Si kina Chippo wala Moustapha Hadji. Wala si kwa Asamoah Gyan na the likes of Michael Essien the Great, Appiah na Boateng. Wala si wale kina Suleiman Camara na kizazi cha El hadj Diouf , Fadiga marehemu Diop ,Cisse na hata Nigeria ya Mikel Obi and Co. Wapi Riyadh Mahrez and Co?. NI MOROCCO YA HAKIMI, ZIYECH AND CO (KIZAZI CHA DHAHABU CHA ARAB-AFRICAN DESCENT)

Kwa kifupi timu hii ndo tumu Bora kuwahi kutokea katika Historia ya Soka kwa ukanda wa CAF na mafanikio haya yataishi.

Chuki wachukiwe lakini haki yao wapewe.

HONGERA TEAM MOROCCO KWA KUUVUNJA MWIKO ULIOWASHINDA WENGI.
Furaha siku zote huzalisha amani na usipo kuwa na uangalifu makini huzalisha shida. Nikweli history haita futika na lugha ya kujaribu kubagua nayo haita futika japo samahani ilitolewa kwa shinikizo la Caf na wanachama wake.
 
Mbona tunalazimishana timu ya kupenda?, mimi ninaitakia safari njema France, Croatia na Simba.
Wewe endelea na waarabu wako na waislamu wa Morocco kuwapongeza maana hilo ndo kundi pekee wanalolitambua Wamorocco
Unaanini France wanakutambua wewe..

Uchawa tuandae timu zetu na tuziombee zifanikiwe mzee
 
Furaha siku zote huzalisha amani na usipo kuwa na uangalifu makini huzalisha shida. Nikweli history haita futika na lugha ya kujaribu kubagua nayo haita futika japo samahani ilitolewa kwa shinikizo la Caf na wanachama wake.
Mmebaguliwa au mmeambiwa ukweli?
 
Wanashabikia wa Argentina na France waliowatesa mabibi zao na babu zao kwa vitendo lakini wanaichukia Morocco hii vita ilihama kwenye dini kati ya Islam na Christian ila hakuna shida kwenye ile kauli ni ujinga tu wa waafrika.
 
Wanashabikia wa Argentina na France waliowatesa mabibi zao na babu zao kwa vitendo lakini wanaichukia Morocco hii vita ilihama kwenye dini kati ya Islam na Christian ila hakuna shida kwenye ile kauli ni ujinga tu wa waafrika.
Hadi mhusika kaomba radhi wewe bado huoni kauli ile ilikuwa na tatizo?
 
Luca Modric amehitimisha huduma yake kwa timu ya Taifa ya Croatia. Hakika ameitendea haki jezi hiyo na pia heshima,adamu na ustaarabu wake utakumbukwa daima uwanjani. Tumejionea leo mapenzi ya wapenzi wa mpira kwa FUNDI huyu.
View attachment 2450214

Niende moja kwa moja kwenye Mada kuu:

Ulitokea mgogoro uliosababisha chuki na malalamiko toka kwa mataifa ya africa hususan yasiyo ya 'kiarabu' baada ya kauli za utata toka kwa mchezaji wa Morocco kuhusu ushindi wao wa kufuzu kwenda Robo fainali.
View attachment 2450215

Hili lilipelekea waafrika kuiombea mabaya Morocco na kuibeza hasa baada ya kushindwa nusu fainali. Inshort huu ni ujinga uliopitiliza kwani kila taifa lilipaswa kujitegemea na kutegemea kuungwa mkono na yeyote.

Ikumbukwe waafrica tunaunga Mkono mataifa mbalimbali hususan ya Ulaya na S.America bila kuangalia asili yetu.

Ni wakati sasa wa kuipongeza Morocco kwa mafanikio makubwa ambayo hayajawahi kufanywa na timu yeyote ya Africa tangu wakati wa kina Roger Milla Yekin, Song, Makanak, Etoo, Kanu, Okocha, Abou Trika, Mboma, Drogba na wengineo. Wala si Yaya Toure, Salah au Sadio Mane. Si South Africa ya kima Macarthy, Mark Fish, Tshabalala au Nomvete. Si kina Chippo wala Moustapha Hadji. Wala si kwa Asamoah Gyan na the likes of Michael Essien the Great, Appiah na Boateng. Wala si wale kina Suleiman Camara na kizazi cha El hadj Diouf , Fadiga marehemu Diop ,Cisse na hata Nigeria ya Mikel Obi and Co. Wapi Riyadh Mahrez and Co?. NI MOROCCO YA HAKIMI, ZIYECH AND CO (KIZAZI CHA DHAHABU CHA ARAB-AFRICAN DESCENT)

Kwa kifupi timu hii ndo tumu Bora kuwahi kutokea katika Historia ya Soka kwa ukanda wa CAF na mafanikio haya yataishi.

Chuki wachukiwe lakini haki yao wapewe.

HONGERA TEAM MOROCCO KWA KUUVUNJA MWIKO ULIOWASHINDA WENGI.
Watanzania hawajitambui.

Wamorocco wako sahihi.

Kwanza mchezaji anapokuwa uwanjani anapigania nafsi yake, pili taifa lake, huko kwingine ni mbwembwe TU.

Hata jeshini, mwamajeshi anaipigania nafsi yake mwenyewe then taifa lake.

Wapumbafu ndio wanaotupigia kelele kuhusu Morocco.

Hongera Morocco Kwa kujipigania na kulipigania taifa lenu na race yenu
 
Watanzania hawajitambui.

Wamorocco wako sahihi.

Kwanza mchezaji anapokuwa uwanjani anapigania nafsi yake, pili taifa lake, huko kwingine ni mbwembwe TU.

Hata jeshini, mwamajeshi anaipigania nafsi yake mwenyewe then taifa lake.

Wapumbafu ndio wanaotupigia kelele kuhusu Morocco.

Hongera Morocco Kwa kujipigania na kulipigania taifa lenu na race yenu
Kwa hoja hii, wewe ndio hujitambui kabisa.
 
Hadi mhusika kaomba radhi wewe bado huoni kauli ile ilikuwa na tatizo?
Mzungu alikuomba radhi lini hukumsikia raisi wa FIFA siku ile alisema wazungu wanatakiwa wawaombe radhi waafrika kwa waliyowafanyia uliwasikia waliomba hii vita iligeuzwa kati ya Christian na Islam sikatai inawezekana Morocco walikosea ila sidhani kama kweli ilipaswa kuwa issue kiasi kile kwani alivyosema haibadilishi uhalisia kwamba wao ni waafrika ni ujinga tu na ujuha wa mtu mweusi aliyoyafanya Argentina kwa waafrika hakutakiwa kuwa na shabiki hata mmoja kutoka Africa lakini kuna majuha kibao wanashabikia Argentina na team za wazungu ujinga afrika kwa ujinga tulitakiwa tupigwe bomu wote tufe wazaliwe wengine wenye akili hiki kizazi cha sasa kishapoteza direction.
 
Back
Top Bottom