Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

Eliamini

JF-Expert Member
Feb 4, 2012
582
687
Kwanza niseme mimi si shabiki wa simba wala si shabiki wa yanga, ila ni shabiki wa mpira na timu zote hizi mbili nazifuatilia kuanzia mashindani ya ndani kwa maana NBC premier league.

Azam Federation na michuani ya kimatimaifa kuanzia kombe la shirikisho mpaka ligi ya mabingwa.

Kwa matokeo ha leo ya yanga naiona kabisa yanga inafika nusu fainali kwanza wana ile spirit waliyokua nayo tangu msimu wa mwaka jana walipofika fainali ya shirikisho so ni kitu ambacho wamekifanya kama marking scheme yao, kucheza bila pressure kwakua timu haijapewa malengo makubwa sana ila ndani ya kiwanja wanajituma sana.

Kikosi walichonacho yanga kwa sasa hawana hofu ya kucheza na timu yoyote ukanda huu wa africa now yanga ana uwezo wa kupata matokeo tena mazuri kwa mwarabu si jambo dogo kiukweli.

Haya machache natamka insha'Allah yanga inaweza kufika nusu fainali na kua clanu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo ligi ya mabingwa Africa.
Matusi,kejeli na makasiriko sikaribishi
 
Naunga mkono hoja
20240225_003216.jpg
 
Yanga nusu fainali tunafika msimu huu

Mark my words

Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.

Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae

Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.

Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
 
Yanga nusu fainali tunafika msimu huu

Mark my words

Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.

Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae

Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.

Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
Sure
 
Kwanza niseme mimi si shabiki wa simba wala si shabiki wa yanga, ila ni shabiki wa mpira na timu zote hizi mbili nazifuatilia kuanzia mashindani ya ndani kwa maana NBC premier league.

Azam Federation na michuani ya kimatimaifa kuanzia kombe la shirikisho mpaka ligi ya mabingwa.

Kwa matokeo ha leo ya yanga naiona kabisa yanga inafika nusu fainali kwanza wana ile spirit waliyokua nayo tangu msimu wa mwaka jana walipofika fainali ya shirikisho so ni kitu ambacho wamekifanya kama marking scheme yao, kucheza bila pressure kwakua timu haijapewa malengo makubwa sana ila ndani ya kiwanja wanajituma sana.

Kikosi walichonacho yanga kwa sasa hawana hofu ya kucheza na timu yoyote ukanda huu wa africa now yanga ana uwezo wa kupata matokeo tena mazuri kwa mwarabu si jambo dogo kiukweli.

Haya machache natamka insha'Allah yanga inaweza kufika nusu fainali na kua clanu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo ligi ya mabingwa Africa.
Matusi,kejeli na makasiriko sikaribishi
Sema Yanga inaweza kufikia nusu fainali sio timu ya kwanza kufika nusu fainali kutoka Tanzania, Simba ilishafika nusu fainali. Na sidhan Kama wewe ni shabiki wa Simba
 
Kwanza niseme mimi si shabiki wa simba wala si shabiki wa yanga, ila ni shabiki wa mpira na timu zote hizi mbili nazifuatilia kuanzia mashindani ya ndani kwa maana NBC premier league.

Azam Federation na michuani ya kimatimaifa kuanzia kombe la shirikisho mpaka ligi ya mabingwa.

Kwa matokeo ha leo ya yanga naiona kabisa yanga inafika nusu fainali kwanza wana ile spirit waliyokua nayo tangu msimu wa mwaka jana walipofika fainali ya shirikisho so ni kitu ambacho wamekifanya kama marking scheme yao, kucheza bila pressure kwakua timu haijapewa malengo makubwa sana ila ndani ya kiwanja wanajituma sana.

Kikosi walichonacho yanga kwa sasa hawana hofu ya kucheza na timu yoyote ukanda huu wa africa now yanga ana uwezo wa kupata matokeo tena mazuri kwa mwarabu si jambo dogo kiukweli.

Haya machache natamka insha'Allah yanga inaweza kufika nusu fainali na kua clanu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo ligi ya mabingwa Africa.
Matusi,kejeli na makasiriko sikaribishi
ukweli bayana,
ukweli kinagaubaga,
ukweli dhahiri shahiri,
ukweli wa wazi kabisaaaa huu🐒


kila la kheri YANGA AFRICA
 
Back
Top Bottom