Eliamini
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 582
- 687
Kwanza niseme mimi si shabiki wa simba wala si shabiki wa yanga, ila ni shabiki wa mpira na timu zote hizi mbili nazifuatilia kuanzia mashindani ya ndani kwa maana NBC premier league.
Azam Federation na michuani ya kimatimaifa kuanzia kombe la shirikisho mpaka ligi ya mabingwa.
Kwa matokeo ha leo ya yanga naiona kabisa yanga inafika nusu fainali kwanza wana ile spirit waliyokua nayo tangu msimu wa mwaka jana walipofika fainali ya shirikisho so ni kitu ambacho wamekifanya kama marking scheme yao, kucheza bila pressure kwakua timu haijapewa malengo makubwa sana ila ndani ya kiwanja wanajituma sana.
Kikosi walichonacho yanga kwa sasa hawana hofu ya kucheza na timu yoyote ukanda huu wa africa now yanga ana uwezo wa kupata matokeo tena mazuri kwa mwarabu si jambo dogo kiukweli.
Haya machache natamka insha'Allah yanga inaweza kufika nusu fainali na kua clanu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo ligi ya mabingwa Africa.
Matusi,kejeli na makasiriko sikaribishi
Azam Federation na michuani ya kimatimaifa kuanzia kombe la shirikisho mpaka ligi ya mabingwa.
Kwa matokeo ha leo ya yanga naiona kabisa yanga inafika nusu fainali kwanza wana ile spirit waliyokua nayo tangu msimu wa mwaka jana walipofika fainali ya shirikisho so ni kitu ambacho wamekifanya kama marking scheme yao, kucheza bila pressure kwakua timu haijapewa malengo makubwa sana ila ndani ya kiwanja wanajituma sana.
Kikosi walichonacho yanga kwa sasa hawana hofu ya kucheza na timu yoyote ukanda huu wa africa now yanga ana uwezo wa kupata matokeo tena mazuri kwa mwarabu si jambo dogo kiukweli.
Haya machache natamka insha'Allah yanga inaweza kufika nusu fainali na kua clanu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo ligi ya mabingwa Africa.
Matusi,kejeli na makasiriko sikaribishi