Modem gani inafaa??

Mary Glory

Senior Member
Mar 20, 2011
124
20
Jamani nahitaji kujua ni moderm gani ni nzuri,fast na ambayo pia ni cheap.nahitaji kujua kabla ya kununua na sina utaalam nazo.so tafadhali mnaojua pls msaada.
 
Promo only::
Kabla ujanunua zingatia haya
1.Coverage-Je unakaa maeneo gani(kuna maeneo mengine coverage ya CDMA na 3G kwa mitandao hawajacover) so ukinunua itakula kwako
2.Matumizi yako-Kama wewe ni mtu wa kudownload movie/kuplay youtube/eastafricantube/socertube kwa sana hapo swala la speed ya modem inausika
3.Uwezo wako-Makampuni yameweka bundle kwa hiyo utajitutumua kulingana na uwezo wako

Tigo-3G
Vodacom-3G
Airtel-3G
Sasatel-CDMA
Zantel-CDMA/3G
TTCL-CDMA

Kazi ni Kwako

Bei zote ni sawa::::25000/=
 
Ukitaka bei chee nenda Airtel na bundle yao ya 2500 kwa mwezi at 400mb

Ukitaka speed nzuri kwa download purposes chukua TTCL ila ujiandane kwa poor customer service

Ukitaka ambayo itakuwa hewani pale Karatu (Kwa wakazi wa Arusha) ni Vodacom ila kwingine kote inasuasua na ni expensive

Ukitaka inayopatikana kwenye asilimia moja tu ya nchi ya Tanzania ni Zantel

Kwa wakazi wa Dar pekee ni Sasatel

Kuhusu Tigo, eh Mungu na atuokoe sote
 
nashukuru kwa ushauri wote wadau.nimenunua ya zantel na naona iko fresh tu.
thanx.
 
A)How it works?
B)what is the main function of modem?
C)Which types of signal modem process?

Open a thread at education forum I will be glad to come and give you some lessons, not only on modems but on telecommunications in general, if you are so willing.
 
Nunua yoyote ile halafu nitafute nikuchakachulie itakuwa inatumia line zote.

ebwn mi nataka huo mchakuchuo,nisababishie namba yako nikuchek,coz mi ninayo ya voda ila ndo hivyo gharama ukichek bado cjaingia kwenye system basi tabu tupu,serious fanya hivyo!
 
Ukitaka bei chee nenda Airtel na bundle yao ya 2500 kwa mwezi at 400mb

Ukitaka speed nzuri kwa download purposes chukua TTCL ila ujiandane kwa poor customer service

Ukitaka ambayo itakuwa hewani pale Karatu (Kwa wakazi wa Arusha) ni Vodacom ila kwingine kote inasuasua na ni expensive

Ukitaka inayopatikana kwenye asilimia moja tu ya nchi ya Tanzania ni Zantel

Kwa wakazi wa Dar pekee ni Sasatel

Kuhusu Tigo, eh Mungu na atuokoe sote
Chukua Airtel bei yake ni ndogo kununua ,matumizi yake ni TSH 2500 utapata mb 400 matumizi kwa mwezi mzima na pia inapatikana kote mpaka vijijini .MIMI NIMETUMIA ZOTE LAKINI HII NDO KIBOKO YA ZOTE.
 
Back
Top Bottom