Naxria abdalla
JF-Expert Member
- Feb 28, 2025
- 204
- 376
Habari zenu wapenzi husika na mada apo juu nahitaji kwenda mwanza sijawahi fika uwo mkoa naitaji kujua bei ya bus na kampuni gani nzuri ambayo nitafurahia safari yangu.
Nikupe lift mama hakika utafurahiHabari zenu wapenzi husika na mada apo juu nahitaji kwenda mwanza sijawahi fika uwo mkoa naitaji kujua bei ya bus na kampuni gani nzuri ambayo nitafurahia safari yangu
ZanzibarUnatokea mkoa gani?
😂😂😂staki kesi na polisiNikupe lift mama hakika utafurahiView attachment 3571861
Natokea zanzibar kwa iyo nitaondokea darUnatokea kijiji gani??
Kuna magari ya moja kwa moja kutoka dsm mpk mwanza nauli andaa 80k mpk 100k kulingana na status ya gari unalohitajiNatokea zanzibar kwa iyo nitaondokea dar
Kashi nai,,, Le pumbàafu geteAle nyanda ongw’enoyo! Watunoja bise😆
Kwahiyo unataka kusafiri kutoka Zanzibar hadi Mwanza kwa Basi?Zanzibar
Ukifika twn nikupe lift naelekea huko TUFANYE na road tour😂😂😂staki kesi na polisi
Nasekaa🤣🤣 kalechora bagosha kenako!Kashi nai,,, Le pumbàafu gete
Sumbi saka ole na tai goh saki ebula manyi🤣🤣🤣🤣Nasekaa🤣🤣 kalechora bagosha kenako!
Kagombanekàa ammagosha ga gele masala galeho minge no monomo.Nasekaa🤣🤣 kalechora bagosha kenako!
Thoba’naSumbi saka ole na tai goh saki ebula manyi🤣🤣🤣🤣
Minge no nabona no nene😆Kagombanekàa ammagosha ga gele masala galeho minge no monomo.
Duh! lugha gani hii?Minge no nabona no nene😆