wanapolumbana
weakness
Hivi udhaifu wa mwingine utauchukuliaje kama "challenge to you"? Hahahahahha........ Mfano, mtu anasema hajui Kiswahili, hiyo ni challenge kwangu mimi? heheheheee...Duu!
Nimehoji swala lililoletwa na mtoa mada. Ni mtandao gani huo ambao 7,500/= haitoshi kuongea dakika kumi?
mkuu...yaani nimecheka mpaka basi tena......... hii kiboko