King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,872
- 89,890
Wababe hawaendi kwenye hiyo mikutano yake,wengi wanaoenda ni wananchi wanyonge....Ushawahi kumuona Mango,Jahcarhire,NANAKI,PENA?Kwanini isiwe anaogopa kulipuliwa na wababe??
Wababe hawaendi kwenye hiyo mikutano yake,wengi wanaoenda ni wananchi wanyonge....Ushawahi kumuona Mango,Jahcarhire,NANAKI,PENA?Kwanini isiwe anaogopa kulipuliwa na wababe??
Ndio lipo Bongo, limeshaonekana mara kadhaasafi, je lipo bongo au ni saundi?
Lipo Bongo lishaonekana mara kadhaaKwa
Kwahiyo lipo Tanzania? Na hao ni watanzania? Mbona lipo kama gari LA potus?
Duh aisee kumbe hasira za uma wanapata mawimbi yake huo ni woga yeye c rais wa maskiniLipo Bongo lishaonekana mara kadhaa
Ana kipi haswa cha ziada cha kutumia ulinzi wote huo zaidi ya uzandiki na upuuzi uliochangamana na ulofa wenye maziwa ya ng'ombe wenye kila dalili za usaliti kwa wanyonge wake.Sikuwahi kushihudia Rais mwenye ulinzi mkali kwa Tz kama JPM hata hilo Mobile jamming system car nimeliona kwenye hii regime na sina hakika kama lilikuwepo kabla so ndugu wanainji kazeni mkanda tu maana ulinzi wa Rais wetu sie tulio wanyonge ni muhimu kwa gharama ya jasho na Damu zenyu
Kulikuwa na wasiwasi wa vilipuzi? Kwahiyo nalo linabidi lishitakiwe kukata netiweki za simu za watu? Linapata mamlaka ua kutoka wapi kuzuia watu waaiwasiliane likiwa jirana nawee?Hahahaa!! Hiyo ikiwa inapita Network haisomi, huwezi kupata mawasiliano ya simu ukiwa jirani na Hilo dude, ni kama Mita kadhaa hivi
Inaitwa 'mobile jammer'. Kazi yake ni kuzuia au kuintercept RF signals zinazotumika kudetonate radio controlled BOMBS. Kwa kiswahili rahisi kazi yake kuzuia milipuko ya mabomu yanotumia remote control. Yaan mtu anaset bomu labda barabaran au sehem yoyote utakapo pita msafara wa rais then analilipua kutoka mbali kwa kubonyeza kitufe au remote control inayotuma singals kwa GPS ya satellite kwenda kwenye receivers ndan ya hilo bomu ili ilo bomu lilipuke. Sasa hili gari lina vifaa vinavyo 'jamm' RF signals zote katika eneo la mzunguko wa radius ya km 6 mpaka 32km kulingana na muundo wa gari lenyewe na technologia husika. Kwa hiyo purpose ya hili gari na vifaa vyake ninkumprotect Rais na his presidential motorcade from 'any form of Radio controlled BOMBS'.
Kaka hasante kwakweli aikujua kabisa kazi yake. Sikuuliza kwa kukejeli.Inaitwa 'mobile jammer'. Kazi yake ni kuzuia au kuintercept RF signals zinazotumika kudetonate radio controlled BOMBS. Kwa kiswahili rahisi kazi yake kuzuia milipuko ya mabomu yanotumia remote control. Yaan mtu anaset bomu labda barabaran au sehem yoyote utakapo pita msafara wa rais then analilipua kutoka mbali kwa kubonyeza kitufe au remote control inayotuma singals kwa GPS ya satellite kwenda kwenye receivers ndan ya hilo bomu ili ilo bomu lilipuke. Sasa hili gari lina vifaa vinavyo 'jamm' RF signals zote katika eneo la mzunguko wa radius ya km 6 mpaka 32km kulingana na muundo wa gari lenyewe na technologia husika. Kwa hiyo purpose ya hili gari na vifaa vyake ninkumprotect Rais na his presidential motorcade from 'any form of Radio controlled BOMBS'.
Hili sikulijuaMzee aliogopa risasi kuliko korona.au mbwembwe tu but now ni the least living president aliyekufa kizembe
Ilikuwa inazuia udukuzi wa kifaa?Lakini lilishindwa kulinnda Covid virus
Punguza ujinga japo hata kidogo tu,Lakini lilishindwa kulinda Covid virus