Mobile Jamming system car

Wakuu habari

Hii kitu nimeiona kwenye Uzi mmoja hivi nikaona sio mbaya kuja kuuliza kupata ufafanuzi zaidi.

Lina faida gani katika ulinzi wa Raisi na mambo mengineView attachment 954700
Now Days Mabomu mengi yanatumia Mobile phone detonating system (unatumia signal za simu kuyalipuwa) So kwenye gari kama hili kunakuwa na mobile signal jamming let say arround 1Km radius== katika umbali huo akuna any mobile phone controlled bombs litakalolipuka
Pia inaweza ikajam Drone signals Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye masafa ya 20MHz to 6000 MHZ. Hivyo basi ina cover from VHF,UHF ,2G,3G,CDMA na ata 4G.
 
Du.Watu na maujuzi yenu.Ahsante mkuu
 
safi, je lipo bongo au ni saundi?
 
Sikuwahi kushihudia Rais mwenye ulinzi mkali kwa Tz kama JPM hata hilo Mobile jamming system car nimeliona kwenye hii regime na sina hakika kama lilikuwepo kabla so ndugu wanainji kazeni mkanda tu maana ulinzi wa Rais wetu sie tulio wanyonge ni muhimu kwa gharama ya jasho na Damu zenyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…