Mobile Jamming system car

Mobile Jamming system car

Two dimension array

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,592
Reaction score
2,382
Wakuu habari

Hii kitu nimeiona kwenye Uzi mmoja hivi nikaona sio mbaya kuja kuuliza kupata ufafanuzi zaidi.

Lina faida gani katika ulinzi wa Rais na mambo mengine

mobile jammer.jpeg
 
Wakuu habari

Hii kitu nimeiona kwenye Uzi mmoja hivi nikaona sio mbaya kuja kuuliza kupata ufafanuzi zaidi.

Lina faida gani katika ulinzi wa Raisi na mambo mengineView attachment 954700
Now Days Mabomu mengi yanatumia Mobile phone detonating system (unatumia signal za simu kuyalipuwa) So kwenye gari kama hili kunakuwa na mobile signal jamming let say arround 1Km radius== katika umbali huo akuna any mobile phone controlled bombs litakalolipuka
Pia inaweza ikajam Drone signals Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye masafa ya 20MHz to 6000 MHZ. Hivyo basi ina cover from VHF,UHF ,2G,3G,CDMA na ata 4G.
 
Now Days Mabomu mengi yanatumia Mobile phone detonating system (unatumia signal za simu kuyalipuwa) So kwenye gari kama hili kunakuwa na mobile signal jamming let say arround 1Km radius== katika umbali huo akuna any mobile phone controlled bombs litakalolipuka
Pia inaweza ikajam Drone signals Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye masafa ya 20MHz to 6000 MHZ. Hivyo basi ina cover from VHF,UHF ,2G,3G,CDMA na ata 4G.
Du.Watu na maujuzi yenu.Ahsante mkuu
 
Now Days Mabomu mengi yanatumia Mobile phone detonating system (unatumia signal za simu kuyalipuwa) So kwenye gari kama hili kunakuwa na mobile signal jamming let say arround 1Km radius== katika umbali huo akuna any mobile phone controlled bombs litakalolipuka
Pia inaweza ikajam Drone signals Ina uwezo wa kufanya kazi kwenye masafa ya 20MHz to 6000 MHZ. Hivyo basi ina cover from VHF,UHF ,2G,3G,CDMA na ata 4G.
safi, je lipo bongo au ni saundi?
 
Sikuwahi kushihudia Rais mwenye ulinzi mkali kwa Tz kama JPM hata hilo Mobile jamming system car nimeliona kwenye hii regime na sina hakika kama lilikuwepo kabla so ndugu wanainji kazeni mkanda tu maana ulinzi wa Rais wetu sie tulio wanyonge ni muhimu kwa gharama ya jasho na Damu zenyu
 
Back
Top Bottom