Mobile barbershop, karibuni kwa huduma nzuri

Mobile barbershop, karibuni kwa huduma nzuri

jimmy jay jay

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
223
Reaction score
39
Habari zenu wakuu?baada ya kukusanya ka mtaji sasa nimenunua machine za kunyoa nywele, sterilizer na vifaa vingine.Lengo langu ni kulenga kundi la watu kwa kua na mobile saloon(salun).

Hapo nimelenga:familia,shule za boarding,vituo vya wototo yatima etc...,
Kwa mfano kuliko watoto ambao wanakaa bwenini watoke nje kwenda kunyoa,mimi nitakua nawafuata shuleni na vifaa vyangu niwanyoe harafu 10% ya mapato yangu ya hio siku atabaki shuleni kwa jili ya umeme niliotumia.

Wanafunzi zaidi ya 50 nitawanyoa kwa bei ya sh 500 kila mmoja na chini yawanafunzi 50 nitawanyoa kwa sh.1000.

Mimi kazi yangu ni kunyoa na ni kinyozi mzuri napatikana dar es salaam/buza nawahakikishia huduma nzuri na salama kwa sababu itapunguza wanafunzi kutoka nje ya shule kwenda kunyoa na kukutana na vishawishi huko na watakua wasafi kila siku.

Kwa mawasiliano nitafute kwenye namba 0652002828.

Tafadhal wafahamishe wakuu wa shule,ndugu na marafiki kwa hii habari .

Karibu sana na kama kuna ushauri naupokeya kwa furaha.


ASANTENI SANA.
 
Kuna watu watatumia wazo lako na kulifanyia kazi kabla hujakaa mwezi. Wale wanaouliza nina mtaji wa laki tano nifanye biashara gani...biashara hii hapa.
 
Jaribu kuandika email moja kwa moja hizo sehemu zote, pia kama unaweza uwatembelee kujadili. Anza kutembelea sehemu ziliko karibu na nyumba yako. Jitahidi mwisho utafanikwa.
 
Hongera kaka usikate tamaa wapo watakaokukatisha tamaa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nakupongeza ila nakushauri uwe na team ya kazi, na uwe mpango mkakati wa kazi hiyo. Niliwahi kuwa natoa huduma mashuleni ya kupuga picha za usajiri wa mitihani, watendaji kazi wangu walipofahamu walisambaa karibia nusu na kazi ikayumba
 
NAKUPONGEZA ILA NAKUSHAURI UWE NA TEAM YA KAZI, NA UWE MPANGO MKAKATI WA KAZI HIYO. NILIWAHI KUWA NATOA HUDUMA MASHULENI YA KUPUGA PICHA ZA USAJIRI WA MITIHANI, WATENDAJI KAZI WANGU WALIPOFAHAMU WALISAMBAA KARIBIA NUSU NA KAZI IKAYUMBA
Team ninayo na ya vinyozi watano,asante sana mkuu
 
great idea
safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom