jimmy jay jay
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 223
- 39
- Thread starter
- #41
Karibu wadau!!!!
Asante richardKitu kikubwa cha kufanya andaa business card sambaza hizo sehemu utakapokua unaenda kuongea nao itakusaidia sana pindi wakikuhitaji wanakutafuta kiurahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo mgando yenye chembechembe za wivu.Yaani umetoa ufafanuzi mzuri sana ...
Ona hii .. miaka ya 2000 uandaaji wa mitihani ilikuwa deal, walimu wakanunua computers, wakanunua photocopy wakaweka majumbani kwao wakawa wanafanya wenyewe ...
miaka ya 2005+ Id za wanafunzi zikawa deal .... walimu wakanunua camera, laptop, laminating machine ... hiyo ikavurugika ...
Hivyo hivyo hata hii wataivuruga tu...
Anamanisha kuwa walimu watavamia hio kazi coz watanunua machine then wataajiri kinyoziWataivuruga kivipi. ..labda sheria za watoto kunyoa zibadilike waanze kusuka. ...