Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari kuingiza mizigo nchini kwamba mbona hawajasema chochote kuhusu mjadala wa DP Wold kuhusu Bandari.
Mimi nadhani Rostam Aziz ameshaongea kwa niaba ya wafanyabishara sidhani kama kuna ulazima Mo Dewji na GSM nao waitishe Press kuzungumzia bandari, sidhani. vinginevyo kama wataona inafaa labda kwa kuhojiwa na vyombo vya habari ili kupata mtazamo wao kuhusu uwekezaji huo.
Mo na GSM wana akili, hili pekee ndio jibu, Rostam ana pesa sawa ila akili zake zina shida, kina Mo hata kama wana support ila hawawezi kutaka kuonekana vilaza
Mo na GSM wana akili, hili pekee ndio jibu, Rostam ana pesa sawa ila akili zake zina shida, kina Mo hata kama wana support ila hawawezi kutaka kuonekana vilaza
Rostam kafanya sana siasa anaijuwa CCM vizuri sana ila kama unakumbuka kwenye ile sherehe ya Yanga kama sikosei Rais Samia alitupa kijembe kwa GSM kuwa nakuachiachia mambo yako yaende najuwa na wewe unafanya nini, hapo utajuwa Rais anajuwa kila kitu ni ile funika mwana haramu apite.