Kwa akili za kibinadamu huenda ukawa sawa. Ila kwa uweza wa Mungu anaweza kupatikana, na kupatikana kwake kukasaidia kujua ni nini kinaendelea hapa nchini. Mungu sio mwanadamu, njia zake sio kama njia zetu.
Iko siku nayo yaja, wale wafanyao haya watafarakana na kutofautiana wao kwa wao, wataanza kulana na kupoteza wao kwa wao, na hapo ndipo itakapojulikana wazi ni akina nani hawa, na wanafanya haya kwa masilahi ya nani.