MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,837
- 3,541
Afu anasahau ku copy na ubora bidhaa,maana hyo sabuni yake ya hovyo sana.Kampuni tanzu ya METL Group inayotengeneza sabuni ya unga ya Mo Cleansoft imeshindwa katika shauri lililofunguliwa na Keds Tanzania Co. Ltd kwa kutengeneza na sabuni zinazoshabihiana na bidhaa yake ya Kleesoft. Tume ya ushindani (FCC) imesema METL imeiga jina na kuleta mfanano.
Source: Swahili times
Usisahau kua shia wana kitu kinaitwa KHUMS, ambayo ni faida ya biashara na vitegauchumi kwa mwaka. Jamaa anajua ni kiasi gani Mo analipa kila mwaka? Pia kutoa sadaka kwa kupanga watu hadharani sio utaratibu wa kidini na hilo shia karibu wote wanalizingatia. Hapa tanzania matajiri waislamu wa kihindi zaidi ya 80% ni shia, je kuna ambae anatoaga sadaka na misaada mingine hadharani kama Bakhressa anavyofanya?Bakhresa ni Sunni ndiyo maana sadaka zake mnaziona maana Sunni Waswahili ni wengi. Mo yeye Shia anatoa kwa Shia wenzie huko Upanga. Uswahilini Shia wa kuhesabu
Sadaka kwa mujibu wa uislamu ili kulinda utu na heshima ya anaepewa sadaka inatolewa kwa wahitaji kwa siri baina ya mtoaji na mpewaji. Ukisha panga watu hadharani/barabarani na kuwagawia pesa hio sio sadaka kwa mujibu wa uislamu, unatakiwa uitafutie jina lingine.Sadaka kwa Mujibu wa Uislam haiangalii Dini, Kabila wala jinsia
Sadaka anapewa kila mwenye uhitaji
Ukianza kutoa Sadaka kwa ubaguzi kwa Mujibu wa Uislam tafuta jina lingine ila usiite Sadaka kwa mujibu wa Sheria na taratibu A Swadaqah
Tukirudi kwenye mada: hata Nembo ya sasa ya MO katohoa style ya nembo ya Azam
Kashindwa kuingiza Boti z usafirishaji kuhofia kilichomkuta Scandinavia ambae alitahadharishwa akapuuza
Hakuna chuo kinachofundisha ubunifu...hii inaonesha elimu haikumsaidia ama hakupata elimu ya ubunifu.
Jamaa kweli atakuwa mzee wa kucopy na kupaste maana naona alicopy mpaka kiki ya Roma
NIMEKUPATA....umenikumbusha story ya Ally na Aboubakar...historia ya uislam.Bakhresa ni Sunni ndiyo maana sadaka zake mnaziona maana Sunni Waswahili ni wengi. Mo yeye Shia anatoa kwa Shia wenzie huko Upanga. Uswahilini Shia wa kuhesabu
Maji ya Mkwawa mmiliki ni nani?Maji ya Mkwawa nao wameiga kila kitu kutoka kwenye maji ya Kilimanjaro.
Mkwawa Pure drinking water mmeshindwa ubunifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu siku hizi maji ya Hill hayapatikani kabisa, isije ikawa tayari figisu zimeanza ila yale maji matamu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mohammed Dewji hata jina la "MO" ka-copy kwa MO Ibrahim,kwani kabla MO Ibrahim hakujikita sana kujiita MO Dewji ! Sema Wabongo wengi ni Bongolala hawana kumbukumbu kihivyo!
Baada ya kuona neno MO lina- sound vizuri kama "more" basi kila kitu kinacho- trend au ku-peak basi tegemea Mohammed Dewji ataki-copy kwa kuanza na MO!
Mo Chalk, Mo Chupi, Mo Fire ,Mo breath n.k
Bakhresa ana subiri Nini na yeye kwenda kumshitaki...!!maana kampuni ya Mo imeiga bidhaa nyingi toka kwa bakhresa
Kiwanda kipo Iringa yaani hadi chupa wameiga, sijui mmiliki ni nani.Maji ya Mkwawa mmiliki ni nani?
Kabisaaa mkuuNdio biashara za kibongo zilivyo. Unafungua duka la mangi hapa, ukianza kupiga hela na majirani wanafungua mawili kukuzunguka.
MO kakosa ubunifu. Kuna juice inatwa apple punch ya Azam, jamaa kaiga yake anaiita MO punch
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Sunni Muslim. Kwanini mchukiane wakati Mungu wenu mmoja je angekuwa watatu kama wetu?Yana kelele kama Boeing linataka kushuka au kupaa