Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,549
Mo chupiMO Salah wa Liverpool kakopi kwa Mo fire
Mo chupiMO Salah wa Liverpool kakopi kwa Mo fire
Baba yao hajafa,vipi anakuwa msmamizi wa mirathi? Ila kweli anazingua azam embe/mo embe.azam ukwaju/mo ukwaju.azam energy/mo energy .azam + /mo +
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ni habari mbaya kwa mbumbumbu fc.
Hivi unaweza kuuza business idea kwa kampuni kibongo bongo na wakakulipa? Kichwa change kina vitu vingi sema nashindwa kuvisimamia,kwa akili ya muda na kukosa watu wenye commitment
Tuko mbele tumemleta mbelgiji.TASAF FC mnaendeleaje?
dodge
Kama baba akiwa mzee, huwa anachagua mtoto wake mmoja ambaye anaweza simamia kazi zake/biasharaBaba yao hajafa,vipi anakuwa msmamizi wa mirathi? Ila kweli anazingua azam embe/mo embe.azam ukwaju/mo ukwaju.azam eneg/mo eneg .azam + /mo +
Sent using Jamii Forums mobile app