Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,333
- 6,615
Kuna haja Mo kutafuta watu wa kumshauri kuhusu marketing ni sehemu ambayo kwa kiasi kikubwa anafeli sana,
Bidhaa zake nyingi anaiga yaan hana ubunifu kabisa, Bakhresa ana watu wazuri sana na ni wabunifu mno tofauti na Mo, Yeye kila siku anadurusu tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bidhaa zake nyingi anaiga yaan hana ubunifu kabisa, Bakhresa ana watu wazuri sana na ni wabunifu mno tofauti na Mo, Yeye kila siku anadurusu tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
