Ni mmoja wa wanyonyaji kwa wafanyakazi TzTatizo jamaa anachukua graduates na anawalipa kidogo sana sijui huo ubunifu watatolea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe mlaumu Baba yakoMo tapeli
Halafu Mo sio tajiri, bali ni msimamizi wa Mirathi
Tajiri Alikuwa Mengi na Baharesa
Kabisaaa.. kaiga kuanzia energy drinks mpaka juice ya ukwaju lakini bado bidhaa zake hazina ubora ule tunaoupata wa azamBakhresa ana subiri Nini na yeye kwenda kumshitaki...!!maana kampuni ya Mo imeiga bidhaa nyingi toka kwa bakhresa
Anaiga kila anachofanya Bakhresa kasoro kwenye kutoa Sadaka kwa wenye matatizo
Mzee Gulam alichezea pesa yake pale kupeleka yule USASasa yule alipaswa kuonyesha utofauti.... Alikwenda kusoma USA ili aje kufanya hayo ma-copy and paste?
Yani ukienda kwa Mo wafanyakazi wanadegree zao wanalipwa 300k mpk 200k ila kwa BAKHRESA Sasa dereva tu analipwa 600k na hapa ndo utofauti ulipo asee , Mo utajiri wake ni wa kibahiri sana asee na kinyonyaji Management na Marketing Team hana atabaki kukopy sana tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo Metl kashindwa kuajiri watu wabunifu na hii yote ni Ubahili wa malipo mazuri watu waweke akili yaoAnaiga kila anachofanya Bakhresa kasoro kwenye kutoa Sadaka kwa wenye matatizo
yaani haya mambo MO yako damuni,hata mumfanyeje.
si mnajua yale mabajaji yake ya tyre moja mbele,ile ndio idea yake binafsi aliyofaulu.





Mtoto anarud bongo lakin ubunifu zero wenzie tumeenda hapo ujerumani tumerud na Idea 300 kidogo na soon utatusikia tu
Mo tapeli
Halafu Mo sio tajiri, bali ni msimamizi wa Mirathi
Tajiri Alikuwa Mengi na Baharesa



I never see this guy as smart anyway....Kampuni tanzu ya METL Group inayotengeneza sabuni ya unga ya Mo Cleansoft imeshindwa katika shauri lililofunguliwa na Keds Tanzania Co. Ltd kwa kutengeneza na sabuni zinazoshabihiana na bidhaa yake ya Kleesoft. Tume ya ushindani (FCC) imesema METL imeiga jina na kuleta mfanano.
Source: Swahili times