The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,170
- 20,202
Mo siyo mnafiki kwa kijionyeshaonyesha hadharani kwa kutoa sadKa asifiwe. Siyo yule mtu anavizia umati nakutandika mkeka kuswali mbele ya kadamnasi asifiwe mtakatifu.Zaid ya Mara 10
Unakuaje Mzee wa Mjini wa age yangu halafu usile Fedha ya Said?
Tumeanza kupiga vizinga 1980 kwenye Mgahawa wake wa Mtaa Pemba alipoanz kupaa kimafanikio

