Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,539
Mwanamke mmoja nchini Australia amekutwa na mnyoo akiwa hai, mwenye urefu wa sentimeta 8, kwenye ubongo wake wa mbele.
Mnyoo huyo aina ya Ophidascaris robertsi mwenye umbo la kamba, kwa kawaida hupatikana kwenye nyoka wasio na sumu, wanaopatikana zaidi Australia, huku ikidhaniwa kuwa huenda mwanamke huyo alipata mnyoo huo, wakati akikusanya nyasi, karibu na mahali alipokuwa akiishi.
Kufuatia sintofahamu hiyo, watafiti wamesema kuwa kisa hicho kinaashiria kuwa, kuna hatari ya ongezeko la magonjwa ya kuambukiza kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.
Mnyoo huyo aina ya Ophidascaris robertsi mwenye umbo la kamba, kwa kawaida hupatikana kwenye nyoka wasio na sumu, wanaopatikana zaidi Australia, huku ikidhaniwa kuwa huenda mwanamke huyo alipata mnyoo huo, wakati akikusanya nyasi, karibu na mahali alipokuwa akiishi.
Kufuatia sintofahamu hiyo, watafiti wamesema kuwa kisa hicho kinaashiria kuwa, kuna hatari ya ongezeko la magonjwa ya kuambukiza kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu.