cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Huyo mwigulu mbona mara nyingi hukutana na wafanyabiashara na kuongea akitoka hapo habadiliki kitu ni kama zile tozo zake za simu zilizoleta hasara na watu kuacha kutumia sana hzo njia especially in digital errorWa chini wanatekeleza wajibu wao Kwa mujibu wa sheria na kanuni,kama kuna Changamoto zingine pelekeni Kwa utatuzi au karipoti.kwa vyombo.
Huo uchumi ungeshakuwa umekufa kitambo ndio kwanza unapata Sasa sijui mnaongea nini hasa..
Rais kamuondoa Makala Kwa sababu za kushindwa kusimamia Changamoto kwenye Mkoa wake ,hiyo sio kazi ya Mwigulu.