Mnyika wanafunzi Ubungo wanakaa chini, mfuko wajimbo uko wapi?

Mnyika wanafunzi Ubungo wanakaa chini, mfuko wajimbo uko wapi?

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu
 
Wajua kuwa shule za jimbo la ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembele shule za msingi, manzese, ukombozi, tandale magharibi, makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lkn kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Ni kweli wanakaa chini, sababu kubwa ni serikali sikivu yenye vipaumbele tofauti inayoongozwa na chama kikongwe kabisa

Hakikisha hii taarifa pia unaipeleka TAMISEMI ili waijumuishe kwenye mipango ya halmashauri ya wilaya ya kinondoni mwakani bila kukosa...

Mnyika atafanya anayoweza hasa kwenye kupigania inclusion ya priorities za watu wake kwenye government plans... ila yeye haweza kufanya funding allocation kwa nchi nzima
 
Aliwaambia yeye fundiseremala kalalamiken ukawa
 
Ni kweli wanakaa chini, sababu kubwa ni serikali sikivu yenye vipaumbele tofauti inayoongozwa na chama kikongwe kabisa

Hakikisha hii taarifa pia unaipeleka TAMISEMI ili waijumuishe kwenye mipango ya halmashauri ya wilaya ya kinondoni mwakani bila kukosa...

Mnyika atafanya anayoweza hasa kwenye kupigania inclusion ya priorities za watu wake kwenye government plans... ila yeye haweza kufanya funding allocation kwa nchi nzima

Na mfuko wa jimbo unafanya nini? nasikia anapewa zaidi ya mil600 kwa mwaka! miaka minne na nusu sasa katoa cherehani kumi tu.
 
ndio mana huu ni msimu wake wa mwisho kugombea tena ni kupoteza muda na fedha,kama anapenda sana ubunge arud home uchagan
 
Anakotoka mkulu kule ndio balaa
_barabara hivyo
_hospital hovyo
_majengo ya shule mbavu za mbwa
_maji ndio shida sana
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu
Ndugu yangu Tanzania nzima watoto wanakaa chini! Au wewe ulisoma shule za binafsi?
 
Na mfuko wa jimbo unafanya nini? nasikia anapewa zaidi ya mil600 kwa mwaka! miaka minne na nusu sasa katoa cherehani kumi tu.

nadhani anatumia kupunguza shida ila hawezi kumaliza
 
Na mfuko wa jimbo unafanya nini? nasikia anapewa zaidi ya mil600 kwa mwaka! miaka minne na nusu sasa katoa cherehani kumi tu.

Hilo swali ungeuliza serikali ya CCM iliyotawala zaidi ya miaka hamsini kwanini bado watoto wetu wanakaa kwenye mawe kama zana za middle stone age, hafu Mnyika sio fundi seremala' na hawezi kutoa hela yake mfukoni hakusanyi kodi tatizo, sio Ubungo tu ni sehemu nyingi watoto wanasomea chini ya miti hata sehemu mkulu wa kaya anapotokea.
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Kwa kweli bila CCM kuondoka Madarakani tutaendelea kuteseka Milele.Serikali ya CCM inakusanya Kodi lakini inapozipeleka hakujulikani.Bado tunasubiri ahadi ya CCM ya kubadili Tanga kuwa Mji wa Viwanda na Kigoma kuwa Dubai ya Afrika.
 
Mfuko wa jimbo kujenga nyumba.

Mfuko wa Jimbo hautoshi kumaliza matatizo yote.Tuungane kuiondoa CCM Madarakani maana imeshindwa kutuondolea Matatizo kwa zaidi ya miaka Hamsini na kushindwa kusimamia matumizi ya Kodi zetu.
 
kukaa chini ndio utamaduni wa watanzania, mbona uimuulize JK ile chenchi ya rada walisema wananunua madawati yako wapi, unamuuliza mnyika? kwani mnyika afisa misitu?
 
Back
Top Bottom