Mada hii imekuja wakati muhimu.Na inafaa suala ya Mfuko wa Jimbo kuwa Kipimo na rungu mojawapo kuelekea oct-2015
Kuna haja UKAWA kuanda Taarifa ya Jumla ya Majimbo yote yaliyo chini ya CDM ,CUF na Nccr-Mageuzi katika kusimamia Majibo yao na hasa eneo la Mfuko wa Jimbo.
CC, Kurugenzi ya Habari
Kupitia UKAWA wagombea wote wa Ubunge na Udiwani lazima wajue ndani nje pesa zote za Mfuko wa Jimbo ilitumikaje na wapi kulikuwa na mianya!
Na bila kusahau Makusanyo na Pesa toka Serikali kuu kwenda Halmashauri husika wapi kulikuwa na mianya kwenye matumizi na wapi wanaweza kupigia kelele zaidi na kusimamia ilikuleta maendeleo.
Kuna haja UKAWA kuanda Taarifa ya Jumla ya Majimbo yote yaliyo chini ya CDM ,CUF na Nccr-Mageuzi katika kusimamia Majibo yao na hasa eneo la Mfuko wa Jimbo.
CC, Kurugenzi ya Habari
[h=3]Halmashauri sita zakiuka masharti ya Mfuko wa Jimbo - Kitaifa[/h]
Kifungu cha 12 cha Sheria ya Mfuko wa Jimbo ya mwaka 2009, kinaeleza kuwa orodha ya miradi inayoweza kutekelezwa inatakiwa kuibuliwa na wananchi wanaoishi katika jimbo husika.
Kupitia UKAWA wagombea wote wa Ubunge na Udiwani lazima wajue ndani nje pesa zote za Mfuko wa Jimbo ilitumikaje na wapi kulikuwa na mianya!
Na bila kusahau Makusanyo na Pesa toka Serikali kuu kwenda Halmashauri husika wapi kulikuwa na mianya kwenye matumizi na wapi wanaweza kupigia kelele zaidi na kusimamia ilikuleta maendeleo.
Last edited by a moderator: