Mnyika wanafunzi Ubungo wanakaa chini, mfuko wajimbo uko wapi?

Mnyika wanafunzi Ubungo wanakaa chini, mfuko wajimbo uko wapi?

Jimbo la Pinda walimu wanakuny.a vichakani! Jimbo la Wassira wananchi wanakunywa maji dimbwi moja na ng'ombe na wote hao ni viongozi wakubwa serikalini na kwenye chama cha magamba. Ukilinganisha huko na Ubungo kwa Mnyika, Ubungo ni Mbinguni.
 
kazi ya mnyika ni kwenda kukosoa kwenye majimbo ya wenzake ila kwake kumemshinda kabisa
huduma nyingi zimelala

nasikia anasema yy ndio kajenga barabara ya mabasi mwendo kasi nikavaki na kucheka tu
 
mnyika ni tatizo nakumbuka 2010 alisema ataleta maji kigogo hadi leo ajawai onekana kigogo tunamsubiri aise
 
Na mfuko wa jimbo unafanya nini? nasikia anapewa zaidi ya mil600 kwa mwaka! miaka minne na nusu sasa katoa cherehani kumi tu.

kumbe umesikia huna uhakika,hearsay is not admissible as evidence,kukusaidia tu,shule kavhizo zinasimamiwa na halmashauri,cha msingi mbananishe diwani kwani yeye ndio hushiriki mikutano ya uamuzi halmashauri.
 
Jimboni chalinze kwa mtoto wa mfalme wanafunzi wanasomea chini ya mti.

Malata Jr.;
Nashukuru kwa jibu lako ulilompa huyu ACT member. Anatafuta kuwapata wale wenye kuyapenda majibu rahisi rahisi. Mbona humo wasilie humu jf??
Mjinga utamjua tu na hilo ndo jibu linalo mfaa huyo
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Ni nani anayeandikisha watoto shuleni kabla ya kufanya tathmini ya uwezo wa shule husika kwa madarasa, madawati, walimu na vitendea kazi vingine? Huyo ndiye wa kujibu malalamiko yako.
 
umeambiwa mnyika anatoa madawati acheni siasa za kijinga ulizeni alimashauri zinazoongozwa na ccm mbunge yeye mfuatiaji shale ngapi America michango acheni umbea
 
pesa za mfuko wa jimbo mnyika anazila na wadada wanachuo wa Mabibo Hostel
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Ukimaliza kusoma hiyo usisahau kumkumbusha Baba rz1-ahadi zake.
Je majuzi umesika kwenye mabehewa mabovu wamepiga kiasi gani.





Hapo jiulize wameweka mifukoni kiasi gani ambayo ingetuwezesha watoto wasikaa chini alafu bado unaleta upuuzi huu-lini Mbunge akawa Halmashauri au Serikali.

Michango kakusanya nani ?
Huelewi kodi inakwenda wapi?
Toka ACT-Wasaliti waanze mmekuwa wengi JF-sijui kwa sasa Lumumba hakuna pesa na mmehamia ACt.



 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Kabla sijachangia mada yako naomba unijibu maswali yangu yafuatayo:-
1. Fedha za mfuko wa jimbo ni za nani?
2. Fedha za mfuko wa jimbo uwekwa kwenye akaunti ipi?
3. Mipango juu ya matumizi ya fedha hizo upangwa wapi na nani?
4.Usimamizi na ukaguzi wa matumisi ya fedha hizo ufanywa na nani?
5.Mnyika mwaka huu ni wa 5 tangu awe mbunge je yeye ndiye mbunge wa kwanza hapo Ubungo?kama jibu litakuwa hapana je hao waliokuwepo kabla ya Mnyika walitoa madawati na sasa wameondoka nayo?
6.Mpango wa serikali kutoa fedha za mfuko wa jimbo ulianza kutekelezwa lini?

Ukinipatia majibu ya hayo maswali yangu ndio nitachangia tuhuma zako dhidi ya Mnyika.
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu
Nasikia wa msoga wote wanakalia sofa!! Eti ni kweli?
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

Hili ni tatizo la kitaifa si ubungo tu
 
Na mfuko wa jimbo unafanya nini? nasikia anapewa zaidi ya mil600 kwa mwaka! miaka minne na nusu sasa katoa cherehani kumi tu.

na mnyika alikuwepo ktk hilo jimbo toka 1961
 
mnyika ni tatizo nakumbuka 2010 alisema ataleta maji kigogo hadi leo ajawai onekana kigogo tunamsubiri aise

naona jimbo la ubungo lilikuwa chini ya chadema toka tunapata uhuru mwaka 1961 had tunakosa maj
 
Wajua kuwa shule za jimbo la Ubungo wanafunzi wanakaa chini, tembelea shule za msingi, Manzese, Ukombozi, Tandale magharibi, Makoka na nyinginezo nyingi tu nakumbuka hii ni moja ya ahadi yako.

Pamoja na michango mingi lakini kwanini watoto wetu wakae chini halafu tumekupa dhamana unauchuna tu

mfuko wa jimbo upo kwa mkeo mwambie auachie,mnyika hakai na mfuko wa jimbo wee mjinga
 
Back
Top Bottom