Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Mweshimiwa sana John Mnyika napenda kukumbusha badala ya kushadadia operation UKUTA tafadhali njoo huku jimboni tufanye harakati za maendeleo!!
Tangu uchaguzi mpaka leo bado huku Mbezi Msumi maji ni shida, umeme imekuwa ndoto, barabara hajizachongwa tangu alipoondoka Yes.
Nakusii siasa za uanaharakati zimepitwa na wakati njoo huku tujenge UKUTA wa maendeleo.
Agenda yenu ya kua Mnyika anahama Chama iliishia wapi? Just thinking
 
Chadema bila Dr. Slaa hakuna kitu hapo..... Yule mzee alikuwa na mikakati hatari.... Ila walio baki sahizi wote wapiga dili tu
 
Nilishangazwa sana kuona mawaziri wakuu wastaafu wawili wanakubali kupitisha neno Kama Hilo "UKUTA" na tena eti wanautafuta URAIS, tumekwisha. CCM ilikua sahihi kabisa kuwakatilia mbali maana huku hatuna watu wenye maamuzi ya ajabu ajabu kama hayo ya UKUTA.
Mmoja ameshakata tamaa, amemwomba kocha acheze ligi za mchangani!
 
Mweshimiwa sana John Mnyika napenda kukumbusha badala ya kushadadia operation UKUTA tafadhali njoo huku jimboni tufanye harakati za maendeleo!!
Tangu uchaguzi mpaka leo bado huku Mbezi Msumi maji ni shida, umeme imekuwa ndoto, barabara hajizachongwa tangu alipoondoka YESU.
Nakusii siasa za uanaharakati zimepitwa na wakati njoo huku tujenge UKUTA wa maendeleo.
Kwani mkurugenzi na waziri wa miundo mbinu wanasemaje, mbuge si kazi yake kujenga barabara yeye ufuatilia mipango ya serikali kwenye eneo lake na kingine ni kutunga sheria ambazo usaidia nchi nzima, kwa kumsaidia unaweza hata wewe ukamfuata mkurugenzi wa ubungo akupe ufafanuzi kuhusu hizo barabara, kama hana majibu nenda kwa waziri kama nao hawana majibu nenda kwa jpm mwenyewe.
 
Kweli nimeanza kuamini kwamba hawa jamaa walitaka kuuza nchi!! kwa taharifa yenu hakuna mwananchi atakaye kuja kupoteza muda!! Watu tumefunguka mwacheni raisi wetu achanje mbuga

Kazi kweli kweli
 
Sie tulimpatia kazi!! Kwa taharifa yako Mhe ni mwajiriwa wetu. Yeye ndo mtumishi wetu ambaye anatuwakilisha haiwezakani wana Ubungo woote kila uchao tupishane kwenye ofisi za serikari mbunge pamoja na majuku yake uliyoainisha bado ni coordinator!! Ana ratibu shughuli za jimboni ndo maana anawajibu wa kututumikia Period!
 
Sasa barabara tangu yesu alivyoondoka hazijachongwa unamlaumu mnyika...ungeanza kwa kina zakayo kidogo ungeeleweka..
 
Juzi mlisema Mh. Mnyika anataka kubwaga manyanga CHADEMA kabla ya mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi pale Dodoma. Leo mnamtaka asimamie maendeleo huko jimboni kwenu. Magamba ni viumbe wa ajabu sana. Wamejaa unafiki, uzandiki na uongo.
 
We Lofa kweli, sasa JPM anataka maendeleo, huyo Mnyika wako badala ya kurudi jimboni kwake na kushirikiana na watu wake kuainisha matatizo yao na kuyapeleka kwa JPM yeye anashikishwa UKUTA! Sasa nini faida yake?
Matusi ya nini, sijatukana mtu hapa. Lofa mama yako na baba yako, stupid burger! Nincompoop ! I tell you you are stupid!
 
Mnyika huyu huyu alimchangia aliyetukana rais Arusha.

Je hela za kuchangia wanaotukana mitandaoni zipo ila za kuchangia maendeleo kibamba hakuna??
Kwa hiyo kilio chako ni mchango? Haya, tangu lini mchango ukawa wa lazima?

Kama huyu aliyeanzisha mada ni mwanaume, na ana akili timamu, aende DAWASCO watampa fomu ajaze apatiwe maji. Haya mambo yenu ya vigodoro mnapoteza muda. Kibamba sio jimbo la kijijini kusema CCM inaweza kuwa tishio. Watu wa Kibamba wamesoma na wana akili timamu, wanafahamu kuwa MBUNGE HANA RESOURCES na hakusanyi kodi. Kumtishia mbunge wa upinzani mfanye hukoooo vijijini ambako mkipeleka khanga na kofia mnaonekana mitume, Ubungo Kibamba na Kawe ngumu kumeza.
 
Jibu swali Mnyika mlimchagua wa nini? Ni mwanamke tutasema ameolewa?
Kwani kwa hii miaka yooooye 50+ ambayo CCM imekaa madarakani, huko Kibamba maji mlikuwa mnachota wapi? CCM ilichaguliwa iolewe? Mbona unakosa staha wewe!

Huku mjini sio huko mashambani ulikotoka, karibu mjini kwanza. Mbunge wa huku mjini hatumtaraji alete stori za zahanati wala kutoa hela mfukoni kununua madawati, toa akili za shamba huku. Mbunge ni mtunga sera. Unataka kuolewa?
 
Mweshimiwa sana John Mnyika napenda kukumbusha badala ya kushadadia operation UKUTA tafadhali njoo huku jimboni tufanye harakati za maendeleo!!
Tangu uchaguzi mpaka leo bado huku Mbezi Msumi maji ni shida, umeme imekuwa ndoto, barabara hajizachongwa tangu alipoondoka YESU.
Nakusii siasa za uanaharakati zimepitwa na wakati njoo huku tujenge UKUTA wa maendeleo.
Yaan haka kajamaa sijui kwann tulikachagua tena huku.
 
Hivi kwa nini mnajisifia ujinga?
Umeme = TANESCO
Maji = DAWASCO
Barabara = TANROADS na MANISPAA

Au hizi taasisi ziko chini yake? Msijitoe fahamu, jazeni fomu pelekeni DAWASCO
Unahisi wanaamaanisha nini mbunge anaposema ataondoa kero za wananchi haswa kipindi cha kampeni?
 
Unahisi wanaamaanisha nini mbunge anaposema ataondoa kero za wananchi haswa kipindi cha kampeni?
Kweli mkuu, kama angejua hivyo asingetoa ahadi ya kuondoa kero. Mnyika aliingia Ubungo na ameondoka bila kusema alileta nini cha kukumbukwa na wapiga kura wa Ubungo. Ngoja wa Kibamba nao waendelee kula matunda ya mabadiliko!!
 
Mweshimiwa sana John Mnyika napenda kukumbusha badala ya kushadadia operation UKUTA tafadhali njoo huku jimboni tufanye harakati za maendeleo!!
Tangu uchaguzi mpaka leo bado huku Mbezi Msumi maji ni shida, umeme imekuwa ndoto, barabara hajizachongwa tangu alipoondoka YESU.
Nakusii siasa za uanaharakati zimepitwa na wakati njoo huku tujenge UKUTA wa maendeleo.
aise uku kibamba kumedoda mpk tumesahau km tuna mbunge anaetuwakilisha mnyika umetusahau kabsa sio siri
 
Shida yako unaishi ishi tu kama mende, kodi hulipi. Ungekuwa unalipa kodi ungeshajua nani unapaswa kumdai maji na umeme. Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo
mwana mtoka hamna kitu wewe wakufuatilia ivoo vitu si mbunge au?? tatizo wakati wanapanga bajeti alifunga plasta mdomoni
 
Back
Top Bottom