Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Na Mumuulize kama bado anao ule ushahidi wa Ufisadi na wizi wa Lowassa na Rosterm au alishauweka kapuni?
 
Shida yako unaishi ishi tu kama mende, kodi hulipi. Ungekuwa unalipa kodi ungeshajua nani unapaswa kumdai maji na umeme. Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo
Mnyika walimchagua wa nini, kuandamana? Acha kuwadanganya wana Kibamba.
 
Na wa ukonga ndio kabisa,yye kazi yake kupiga picha za kugawa madawati basi,yaaani bora na CCM, hawa CDM ni janga kubwa sana.
Yaani walipata kura kwa bahati tukajua watatuletea mabadiliko kumbe wao matatizo yetu ndo mitaji yao!! Leo Mhe Raisi anapiga Kazi wao wapo na mafisadi eti operation UKUTA
 
Na wa ukonga ndio kabisa,yye kazi yake kupiga picha za kugawa madawati basi,yaaani bora na CCM, hawa CDM ni janga kubwa sana.
Waitara hata sisi wauza mayai wenzake ametutelekeza kabisaaa. Mura Waithara thacha mbane wetho Ukonga
 
Yaani walipata kura kwa bahati tukajua watatuletea mabadiliko kumbe wao matatizo yetu ndo mitaji yao!! Leo Mhe Raisi anapiga Kazi wao wapo na mafisadi eti operation UKUTA
Mkapa aliwauliza mabadiliko gani wanataka, ya wanaume kuzaa, wakashindwa kumjibu.
 
Mnyika walimchagua wa nini, kuandamana? Acha kuwadanganya wana Kibamba.
Tata Madiba I salute you kumbe huyu Mnyika sio lolote wala chochote mpaka sasa hana cha kuonyesha tangible ambacho amefanya jimboni kwetu!! Mara kaingia uchizi mara ohoo nipo fresh siku zinakwenda hakuna anachokifanya.Bora haondoke tuuu
 
Mnyika walimchagua wa nini, kuandamana? Acha kuwadanganya wana Kibamba.
Akha! Kuna ambaye walimchagua na kodi wanampa, mbona unaniita muongo we vipi wewe? Au tunapodai risiti tukinunua biskuti ile pasenti fulani ni ya nini? Inaenda kwa Mnyika?

Usijitoe fahamu bwana, we unajua nani anakusanya kodi, msaidie huyo mama kuelewa sio kumpotosha.
 
Mlimchagua wa nini?
Unaonekana una jazba sana...tuliza mwili roho ikae vyema, huu mchezo hauhitaji hasira.

Mimi navyofahamu, Kibamba haina sherehe za Uhuru wa Kibamba ambazo Mnyika anaweza kuamuru fedha za sherehe zijenge barabara. Mbona unajitia wehu wakati ninakufahamu u timamu mkuu?
 
Waitara hata sisi wauza mayai wenzake ametutelekeza kabisaaa. Mura Waithara thacha mbane wetho Ukonga
Sijui lakini,but creativity yake ni ndgo sana,anyway alikuwa bench muda mrefu ngoja aweke mambo yake sawa,maana ni ndoto 2020 kurudi kwenye hiyo nafasi yake
 
Sijui lakini,but creativity yake ni ndgo sana,anyway alikuwa bench muda mrefu ngoja aweke mambo yake sawa,maana ni ndoto 2020 kurudi kwenye hiyo nafasi yake
Nilimsikia siku moja nikacheka sana eti aliamua kugombea kwa sababu Slaa Aligombea na kwamba ana historia ya kumshinda tangu uongozi wa DARUSO. Hapo hapo nikaanza kujutia kura yangu.
 
Nilimsikia siku moja nikacheka sana eti aliamua kugombea kwa sababu Slaa Aligombea na kwamba ana historia ya kumshinda tangu uongozi wa DARUSO. Hapo hapo nikaanza kujutia kura yangu.
Tulikosea sana tena sio mara moja Bali mara mbili ila kwa sasa ndo bai bai
 
Huo UKUTA wanaotaka kushikishwa wajiulize, miaka mingi wanafunzi wamekaa chini, lakini hawakushika UKUTA kuchangia madawati kwa watoto wetu, leo amekuja Magufuli miezi michache tu kila mwanafunzi sasa anakalia dawati! Badala wapambane kuongeza maendeleo majimboni mwao wanakazana kushikishwa UKUTA! Dah! Mazoea mengine ya ajabu sana!
UKUTA wakashike wao na wake zao!! Hakuna mtanzania Au mwananchi wa sasa anaweza akathubutu kushika UKUTA. Tumeamka na tunasonga mbele kwa mbele
 
We Lofa kweli, sasa JPM anataka maendeleo, huyo Mnyika wako badala ya kurudi jimboni kwake na kushirikiana na watu wake kuainisha matatizo yao na kuyapeleka kwa JPM yeye anashikishwa UKUTA! Sasa nini faida yake?
Yaani natamani tarehe 1mwezi wa tisa watu wanaotaka kuwashisha watu UKUTA washikishwe wao!! Hapo ndo heshima itarudi
 
Akha! Kuna ambaye walimchagua na kodi wanampa, mbona unaniita muongo we vipi wewe? Au tunapodai risiti tukinunua biskuti ile pasenti fulani ni ya nini? Inaenda kwa Mnyika?

Usijitoe fahamu bwana, we unajua nani anakusanya kodi, msaidie huyo mama kuelewa sio kumpotosha.
Jibu swali Mnyika mlimchagua wa nini? Ni mwanamke tutasema ameolewa?
 
Unaonekana una jazba sana...tuliza mwili roho ikae vyema, huu mchezo hauhitaji hasira.

Mimi navyofahamu, Kibamba haina sherehe za Uhuru wa Kibamba ambazo Mnyika anaweza kuamuru fedha za sherehe zijenge barabara. Mbona unajitia wehu wakati ninakufahamu u timamu mkuu?
Mnyika huyu huyu alimchangia aliyetukana rais Arusha.

Je hela za kuchangia wanaotukana mitandaoni zipo ila za kuchangia maendeleo kibamba hakuna??
 
Shida yako unaishi ishi tu kama mende, kodi hulipi. Ungekuwa unalipa kodi ungeshajua nani unapaswa kumdai maji na umeme. Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo
Mnyika huyu huyu alimchangia aliyetukana rais Arusha.

Je hela za kuchangia wanaotukana mitandaoni zipo ila za kuchangia maendeleo kibamba hakuna??
 
Aje jimboni kwa njia ipi? Wakati mikutano marufuku!!!! Awe anapita nyumba kwa nyumba. Mijitu mingine sijui vichwa vimekatwa
 
Back
Top Bottom