Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Mnyika: Sina mpango wa kuhama CHADEMA

Aje jimboni kwa njia ipi? Wakati mikutano marufuku!!!! Awe anapita nyumba kwa nyumba. Mijitu mingine sijui vichwa vimekatwa
mikutano sehemu ulochaguliwa ni ruksa ndo kazi ake kwenda jimboni kwake hata JPM kasema
 
Kwa hiyo kilio chako ni mchango? Haya, tangu lini mchango ukawa wa lazima?

Kama huyu aliyeanzisha mada ni mwanaume, na ana akili timamu, aende DAWASCO watampa fomu ajaze apatiwe maji. Haya mambo yenu ya vigodoro mnapoteza muda. Kibamba sio jimbo la kijijini kusema CCM inaweza kuwa tishio. Watu wa Kibamba wamesoma na wana akili timamu, wanafahamu kuwa MBUNGE HANA RESOURCES na hakusanyi kodi. Kumtishia mbunge wa upinzani mfanye hukoooo vijijini ambako mkipeleka khanga na kofia mnaonekana mitume, Ubungo Kibamba na Kawe ngumu kumeza.
nonsense
 
Hivi Dar wataongeza tena majimbo 2020?? Naona mnyika Kibamba ikimshinda!
 
uoga wetu unatutesa........ipi bora uyapige mnada au ukodishe uendelee kula kodi miaka mia....
 
mwana mtoka hamna kitu wewe wakufuatilia ivoo vitu si mbunge au?? tatizo wakati wanapanga bajeti alifunga plasta mdomoni
Cool down baby, mbona unaandika blah blah?! ivoo ndio nini? Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo.

Wewe unafahamu tuna serikali makini, hapa kazi tu...mbunge ana haja gani ya kufuatilia na hali serikali ni makini? Tangu lini serikali ya awamu ya 5 ikafanya mambo kwa 'mujibu wa bunge?' Ina maana hujui kuwa kuna barabara zinajengwa nje ya bajeti?

Well, usije ukadhani 2015 ndio nimepiga kura mara ya kwanza kama wewe, niko humu duniani kwa miongo kadhaa. Nafikiri wakati napiga kura kwa mara yangu ya kwanza, mama yako alikuwa bado kigori, kwa hiyo ukisikia nimekwambia kitu juu ya wanasiasa, tafakari kwanza, niko nao siku nyingi.

You are such an innocent girl, maisha haya ya fitina na unafiki bado huyajui. Mbunge, hata apige kelele kiasi gani bungeni kelele zake hazijengi barabara. Sisi tuliozaliwa huku mjini, tunapochagua mbunge huwa tunaadhimia overall responsibility ya mwakilishi kwa taifa na sio jimbo. Mbunge wa Ubungo mathalan, hatumtarajii kusimama aongee kuhusu madawati...tunataraji kumsikia yanapojadiliwa mambo makubwa ya uchumi wa hii nchi. Nafikiri unaweza kuona jinsi ambavyo ilikuwa ngumu VAT ya miamala ya simu kujadilika vyema na kupatiwa tafsiri bungeni, badala yake taasisi mbili za serikali (BoT na TRA) zikaja kulumbana nje. Hii yote ni kwa sababu, wabunge wa mjini hawakuwepo, waliobaki ni wale ambao wametumwa na nyie watu wa kijijini kuomba zahanati ili kwamba wadogo zako wasizaliwe tena onyuma yo mti wakapata akili za mfano wako.

Impact ya Mnyika kufunga plasta sio Kibamba kukosa barabara na maji. Impact ya Mnyika & CO kufunga plasta ni kwa hoja muhimu na nzito kukosa wa kuzijadili matokeo yake zinakuja kujadiliwa nje. Waliobaki ndani waliishia kuwajadili waliotoka na kuomba vitu muhimu kwa jamii zao, ikiwamo UWANJA WA KUMBUKUMBU YA PUSH UP...asalaaam aleikhum Bi Mdogo!
 
Cool down baby, mbona unaandika blah blah?! ivoo ndio nini? Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo.

Wewe unafahamu tuna serikali makini, hapa kazi tu...mbunge ana haja gani ya kufuatilia na hali serikali ni makini? Tangu lini serikali ya awamu ya 5 ikafanya mambo kwa 'mujibu wa bunge?' Ina maana hujui kuwa kuna barabara zinajengwa nje ya bajeti?

Well, usije ukadhani 2015 ndio nimepiga kura mara ya kwanza kama wewe, niko humu duniani kwa miongo kadhaa. Nafikiri wakati napiga kura kwa mara yangu ya kwanza, mama yako alikuwa bado kigori, kwa hiyo ukisikia nimekwambia kitu juu ya wanasiasa, tafakari kwanza, niko nao siku nyingi.

You are such an innocent girl, maisha haya ya fitina na unafiki bado huyajui. Mbunge, hata apige kelele kiasi gani bungeni kelele zake hazijengi barabara. Sisi tuliozaliwa huku mjini, tunapochagua mbunge huwa tunaadhimia overall responsibility ya mwakilishi kwa taifa na sio jimbo. Mbunge wa Ubungo mathalan, hatumtarajii kusimama aongee kuhusu madawati...tunataraji kumsikia yanapojadiliwa mambo makubwa ya uchumi wa hii nchi. Nafikiri unaweza kuona jinsi ambavyo ilikuwa ngumu VAT ya miamala ya simu kujadilika vyema na kupatiwa tafsiri bungeni, badala yake taasisi mbili za serikali (BoT na TRA) zikaja kulumbana nje. Hii yote ni kwa sababu, wabunge wa mjini hawakuwepo, waliobaki ni wale ambao wametumwa na nyie watu wa kijijini kuomba zahanati ili kwamba wadogo zako wasizaliwe tena onyuma yo mti wakapata akili za mfano wako.

Impact ya Mnyika kufunga plasta sio Kibamba kukosa barabara na maji. Impact ya Mnyika & CO kufunga plasta ni kwa hoja muhimu na nzito kukosa wa kuzijadili matokeo yake zinakuja kujadiliwa nje. Waliobaki ndani waliishia kuwajadili waliotoka na kuomba vitu muhimu kwa jamii zao, ikiwamo UWANJA WA KUMBUKUMBU YA PUSH UP...asalaaam aleikhum Bi Mdogo!
watu wapuuzi mtaisha lini tz msiokuwa na uwezo wa kufikiri
tatizo mnaamka mnakimbilia viroba intelligent quotient below 70 afu kua makini na kutumia he /she itakua hata english hukusoma
 
Kweli nimeanza kuamini kwamba hawa jamaa walitaka kuuza nchi!! kwa taharifa yenu hakuna mwananchi atakaye kuja kupoteza muda!! Watu tumefunguka mwacheni raisi wetu achanje mbuga
Yule mkurupukaji
 
watu wapuuzi mtaisha lini tz msiokuwa na uwezo wa kufikiri
tatizo mnaamka mnakimbilia viroba intelligent quotient below 70 afu kua makini na kutumia he /she itakua hata english hukusoma
Hakuna haja ya kutukana mamaangu. Kwenye bandiko langu nimeongelea mambo kadhaa na mifano nikatoa. Kwenye majibu yako sijaona ulichojibu zaidi ya kuniiya mpuuzi. Hoja ilikuwa ni mimi au Barabara za Kibamba?

Unaweza kuniambia ni faida gani nitapata kwa kusoma English? Maana wewe uliyeisoma hata kuiandika hujui, sasa sijui bado nina haja ya kujiharibu kama ulivyojiharibu wewe usiyejua nukta wala herufi kubwa!
 
UKAWA
UKAW
UKA
UK
U
UK
UKI
UKIW
UKIWA
UKIW
UKI
UK
U
UK
UKU
UKUT
UKUTA
 
Cool down baby, mbona unaandika blah blah?! ivoo ndio nini? Next time unaongea na mimi, anza na shikamoo.

Wewe unafahamu tuna serikali makini, hapa kazi tu...mbunge ana haja gani ya kufuatilia na hali serikali ni makini? Tangu lini serikali ya awamu ya 5 ikafanya mambo kwa 'mujibu wa bunge?' Ina maana hujui kuwa kuna barabara zinajengwa nje ya bajeti?

Well, usije ukadhani 2015 ndio nimepiga kura mara ya kwanza kama wewe, niko humu duniani kwa miongo kadhaa. Nafikiri wakati napiga kura kwa mara yangu ya kwanza, mama yako alikuwa bado kigori, kwa hiyo ukisikia nimekwambia kitu juu ya wanasiasa, tafakari kwanza, niko nao siku nyingi.

You are such an innocent girl, maisha haya ya fitina na unafiki bado huyajui. Mbunge, hata apige kelele kiasi gani bungeni kelele zake hazijengi barabara. Sisi tuliozaliwa huku mjini, tunapochagua mbunge huwa tunaadhimia overall responsibility ya mwakilishi kwa taifa na sio jimbo. Mbunge wa Ubungo mathalan, hatumtarajii kusimama aongee kuhusu madawati...tunataraji kumsikia yanapojadiliwa mambo makubwa ya uchumi wa hii nchi. Nafikiri unaweza kuona jinsi ambavyo ilikuwa ngumu VAT ya miamala ya simu kujadilika vyema na kupatiwa tafsiri bungeni, badala yake taasisi mbili za serikali (BoT na TRA) zikaja kulumbana nje. Hii yote ni kwa sababu, wabunge wa mjini hawakuwepo, waliobaki ni wale ambao wametumwa na nyie watu wa kijijini kuomba zahanati ili kwamba wadogo zako wasizaliwe tena onyuma yo mti wakapata akili za mfano wako.

Impact ya Mnyika kufunga plasta sio Kibamba kukosa barabara na maji. Impact ya Mnyika & CO kufunga plasta ni kwa hoja muhimu na nzito kukosa wa kuzijadili matokeo yake zinakuja kujadiliwa nje. Waliobaki ndani waliishia kuwajadili waliotoka na kuomba vitu muhimu kwa jamii zao, ikiwamo UWANJA WA KUMBUKUMBU YA PUSH UP...asalaaam aleikhum Bi Mdogo!
Well said
 
Huwenda kuna watakaoona kama vile Mnyika anaandamwa lakini sivyo bali hii ni miongoni mwa njia yakupata kile kilichojificha rohoni mwa mwanasiasa huyu nguli.

Waswahili husema pale pafukapo moshi kwa vyovyote chini yake hapakosi moto na ukimya huu wa Mnyika lazima unasababu.

Tunaongea na hatutaacha kuongea mpaka pale tutakapoona hali ya Mnyika kisiasa imerudi kwenye mstari tuliouzoea.

Mnyika ni public figure hivyo si dhambi kama mtanzinia kuhoji kupata ukweli,hapa shida ni nini je shida ni uongozi(cheo)?Ameamua tu kua kimya kiasi hiki?ama ujio wa Lowasa ama tatizo ninini kwenye ukimya huu?

Ifahamike ukimya wa Mnyika si afya kwa yeye mwenyewe,chama chake na hata kwa taifa zima kwani kupitia kelele zake aliweza kutoa ya moyoni lakini pia alifikisha mchango wake kwa Taifa lake.

Si kila jambo huonekana hadharani mengine huonekana kwa ishara tu na kwa hekima ya roho mtu huweza kuoneshwa na kuona viashiria vya jambo halisi.

Ukimya huu unaashiria kitu flani nyuma ya pazia ambacho wanaofahamu wameamua kukaa kimya.

Ni vema ikafahamika ni nani yupo nyuma ya mfadhaiko wa mwanasiasa huyu?Ni nani amechangia kubadili momentum yakisiasa ya mwanasisa huyu mzalendo nchini.

Si jambo lakawaida kwa Mnyika kuwa kimya kiasi hiki hasa kipindiki hiki cha operation maalum(UKUTA).

Tanzania inamuhitaji sana Mnyika na natamani kuiona ile munkari ya mwanasiasa huyu ikirejea kwenye mstari.

Usaha ndani ya jipu unatabia yukujificha kwa muda tu ila lazima kuna siku utatafuta pakutokea na mambo yatakua hadharani.
 
..JJ hayuko kimya.

..majuzi alikuwa Arusha kufungua kesi ktk mahakama ya Afrika Mashariki kupinga maamuzi ya Raisi wa Tz kusitisha shughuli za kisiasa mpaka mwaka 2020.
 
..JJ hayuko kimya.

..majuzi alikuwa Arusha kufungua kesi ktk mahakama ya Afrika Mashariki kupinga maamuzi ya Raisi wa Tz kusitisha shughuli za kisiasa mpaka mwaka 2020.
Habari yake imeonekana kupitia nini,huyu mtu mnajaribu kufichaficha lakini ipo siku ukweli utafahamika.
 
Habari yake imeonekana kupitia nini,huyu mtu mnajaribu kufichaficha lakini ipo siku ukweli utafahamika.

..aliyeficha tukio hilo ni vyombo vya habari.

..lakini ukiangalia sasa anayevuma CDM ni TL peke yake wengine hawavumi.

..kwa mfano, Salum Mwalimu ana wadhifa sawa na ule wa JJ. je unataka kusema Salum Mwalimu anasikika na kuonekana kuliko JJ?
 
..aliyeficha tukio hilo ni vyombo vya habari.

..lakini ukiangalia sasa anayevuma CDM ni TL peke yake wengine hawavumi.

..kwa mfano, Salum Mwalimu ana wadhifa sawa na ule wa JJ. je unataka kusema Salum Mwalimu anasikika na kuonekana kuliko JJ?
Jana G.Lema ameandika waraka kwa raisi,waraka ule leo unakutana nao kwenye magroup ya whatsup na social media nyingine kama face book nk huku habari za Lisu na zenyewe kwa wakati wake zimeendelea ku make head line.Kuniambia kwamba Lisu anasabisha habari za Mnyika isitufikie hueleweki.Tukio hilo lakufungua kesi dhidi ya serikali si tukio dogo kiasi cha kupuuzwa kiasi hicho
 
Habari yake imeonekana kupitia nini,huyu mtu mnajaribu kufichaficha lakini ipo siku ukweli utafahamika.
We ulikuwa wapi,mbona alihojiwa na vyombo mbalimbali vya habari?Uwe unajiridhisha na maneno yako kabla ya kuyaandika!
 
Back
Top Bottom