Kwahiyo unapinga kwamba sio kweli kwamba amefungua kesi na kazungumza na vyombo vya habari?Jana G.Lema ameandika waraka kwa raisi,waraka ule leo unakutana nao kwenye magroup ya whatsup na social media nyingine kama face book nk huku habari za Lisu na zenyewe kwa wakati wake zimeendelea ku make head line.Kuniambia kwamba Lisu anasabisha habari za Mnyika isitufikie hueleweki.Tukio hilo lakufungua kesi dhidi ya serikali si tukio dogo kiasi cha kupuuzwa kiasi hicho
tena huyu ni waziri kabisa.zungumzia na yaliyopo moyoni mwa JJ makamba
Jana G.Lema ameandika waraka kwa raisi,waraka ule leo unakutana nao kwenye magroup ya whatsup na social media nyingine kama face book nk huku habari za Lisu na zenyewe kwa wakati wake zimeendelea ku make head line.Kuniambia kwamba Lisu anasabisha habari za Mnyika isitufikie hueleweki.Tukio hilo lakufungua kesi dhidi ya serikali si tukio dogo kiasi cha kupuuzwa kiasi hicho
Usipende kukurupuka:Jana G.Lema ameandika waraka kwa raisi,waraka ule leo unakutana nao kwenye magroup ya whatsup na social media nyingine kama face book nk huku habari za Lisu na zenyewe kwa wakati wake zimeendelea ku make head line.Kuniambia kwamba Lisu anasabisha habari za Mnyika isitufikie hueleweki.Tukio hilo lakufungua kesi dhidi ya serikali si tukio dogo kiasi cha kupuuzwa kiasi hicho