Mnyika: Ndugai alitumwa na akajiandaa

Mnyika: Ndugai alitumwa na akajiandaa

Mi sijui nisemeje?sio CHADEMA wala CCM,wote hawana nidham,hakuna anaye msikiliza mwenzie,kila chama kinatafuta kujifaharisha sio kwa faida ya wana nchi.Nadhani kama sikuile ya mgogoro uliangalia bunge uliwasikia Lukuvi na Lissu,mi nilipata jibu siku hiyo na kuvidharau vyama vyote viwili.

wewe hujui kitu kabisaa na huelewi wanachotaka ccm na wanachopinga wapinzani.pale tunaangalia hoja tu!kuna watu wanaangalia Taifa kwanza na wengine wanaangalia chama chao.sasa unahitaji kutafakari sana ili upate majibu.
 
Nyumba ndogo inampelekesha huyo Ndugai mpaka anasahau majukumu yao
 
marekani walitengeneza katiba miaka 300 iliyopita ni ya wananchi wa marekani si kwa manufaa ya republican wala democratic kaiba ile inatumika bado ipo sokoni haina kasoro kwa maslahi ya marekani lakini hapa Tanzania hii katiba ijayo ni ya CCM na hakukuwa na maana kuwa na sababu ya kutunga hiyo katiba ni upotevu wa fedha za wakulima kwa hili ni dhambi kubwa na mungu hawaezi kuwabaliki CCM
 
Mnyika naona sasa na yeye anaelekea kukosa ya kuzungumza, "kutumwa" nayo ndio hoja ya kuita press na kuwaeleza, hili neno ni utamaduni wetu na umeshazoeleka, jambo likifanyika utasikia "umetumwa nini" huo ni utamaduni wa kimazoea , na si hoja ya kujengeka, engetuambia kama ni sahihi alichofanya sugu pia..

Mkuu pole sana maana stroke ni hatari sana inaathiri hata ubongo wahi tiba Muhimbili.
 
Hiyo ndio ccm kwa nguvu hamtoweza kuitoa...ila kwa kutumia akili mtaweza, wapinzani undeni chama kimoja ili kuingoa ccm kinyume na hapo mtaishia kuburuzwa kila siku mimi yangu macho

Sio kweli.
 
Myika anatakiwa ajubu hili swali kwanza, jana ,Leo na hata kesho, swali Mh Mbowe wakati alipoamriwa na Naibu spika akae.chini kwanza alitii hio amri? au alikaidi na kama hakufanya hivyo tafakari ninani chanzo cha vurugu hz bungeni? na Mh sugu alikuwa sahihii kuzui askari wa bunge kutekeleza maagizo ya Naibu spika? Naomba jibu na sy maelezo.
 
Changamoto kubwa mbele ya kila anayejali ni kuona madaraka yanavyoweza kutumiwa vibaya kama vile ukimpa kichaa silaha kwa kujua ama kutokujua,kile kiti siku ile kilikaliwa na mtu mgonjwa wa akili,poleni kaka mbowe na wapinzani wenzetu
 
Mnyika aliuluza swalu ambalo mimi bado najiuliza pia, "Hivi kwanini fujo Bungeni hutokea pindi Naibu Spika akiwepo kwenye kiti?"
 
Mnyika naona sasa na yeye anaelekea kukosa ya kuzungumza, "kutumwa" nayo ndio hoja ya kuita press na kuwaeleza, hili neno ni utamaduni wetu na umeshazoeleka, jambo likifanyika utasikia "umetumwa nini" huo ni utamaduni wa kimazoea , na si hoja ya kujengeka, engetuambia kama ni sahihi alichofanya sugu pia..


Umekurupuka hujachamba...
Aliekwambia Mnyika aliitisha Press ni nani?
 
mh mnyika ktk kipindi cha "tuongee asubuhi" ndani ya startv ameeleza kuwa naibu spika mh ndugai aliagizwa na nec kihakikisha matakwa ya ccm yanapita ktk katiba, hvyo alichokua anafanya bungeni juzi ni kutekeleza maagizo.

Pia kasema askari walioingia kuleta fujo bungeni waliandaliwa kabisa na wengine hata si askari wa pale bungeni na ana ushahidi akitakiwa kuutoa maana anawafahamu kwa sura na majina (akimaanisha ilipangwa mapema liwalo na liwe lkn matakwa ya wapangaji yatimie.

Amezungumza mengi machache ya hayo ni kuonyesha jinsi gani zanzibar hawajashirikishwa (na yeyote anaesema wameshirikishwa na mwongo), upinzani walichokuwa wanakifanya ni "filibustering".

Pia akamalizia kwa kusema hatua inayofuata ni kurudi kwa wananchi wao ndio waamue muafaka wa katiba mpya "nguvu ya umma"
hapa kwetu tz ukiona mtu anafanya mambo kiendawazimu basi usibishane naye ujue kuna namna. Huu ni mpango mzima wa ccm kubaka mchakato wa katiba ili katiba ibaki ileile. Serkali 2 na madc waendelee kuwepo na mambo yote mabaya yanayopigiwa kelele na wapenda m,aendeleo.ubabeubabe mtake msitake ccm juu juu zaidi hiyo syllabus inayopigiwa chapuo
 
Myika anatakiwa ajubu hili swali kwanza, jana ,Leo na hata kesho, swali Mh Mbowe wakati alipoamriwa na Naibu spika akae.chini kwanza alitii hio amri? au alikaidi na kama hakufanya hivyo tafakari ninani chanzo cha vurugu hz bungeni? na Mh sugu alikuwa sahihii kuzui askari wa bunge kutekeleza maagizo ya Naibu spika? Naomba jibu na sy maelezo.
amri batili sio lazima kuitii mkuu!
 
Unajua CCM wako wazi japo wenyewe wanadhani wamejificha. Siku wanayoplan kufanya ukandamizaji wa Demokrasia hutamuona Spika, badala yake Naibu Spika. Mh.Mama naye ni wale wale lkn yeye ana uoga kiasi fulani wa kufanya maangamizi dhidi ya demokrasia, hapo ndio Mheshimiwa mungu wa dunia Ndugai anachukua usukani
 
Myika anatakiwa ajubu hili swali kwanza, jana ,Leo na hata kesho, swali Mh Mbowe wakati alipoamriwa na Naibu spika akae.chini kwanza alitii hio amri? au alikaidi na kama hakufanya hivyo tafakari ninani chanzo cha vurugu hz bungeni? na Mh sugu alikuwa sahihii kuzui askari wa bunge kutekeleza maagizo ya Naibu spika? Naomba jibu na sy maelezo.

Mkuu ni wajinga pekee ndio wataamini kauli ya Mnyika. Kama Ndugai alitumwa basi hata Mbowe alitumwa kugoma kutoka nje, pia Sugu naye alitumwa kuvinja mic, na wabunge wengine walioshiriki kuzuia askari nao walitumwa kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom