johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,870
Kuna kila dalili kwamba wabunge wa viti maalumu wa Chadema wote 19 wataondolewa bungeni kwa sababu waliingia kinyume na matakwa ya katiba ya JMT
Tundu Lissu aliongea, Spika Tulia aliongea na sasa Rais Samia ameongea na hata Watanzania waishio Marekani wameongea.
Sote tunajua Covid-19 hawajajipeleka wenyewe bungeni bali walialikwa na Dr Mahera kisha wakaapishwa na Spika Ndugai.
Lakini hata Katibu mkuu wa Chadema hakuchukua hatua zozote za kisheria kama ni kweli saini yake ilighushiwa pale Tume ya Uchaguzi
Natoa angalizo, kabla ya kuwatimua akina Halima Mdee na wenzake ni haki tena ni wajibu Mahera na Mnyika wakachunguzwa na kuchukuliwa hatua stahiki.
Ramadan kareem!
Tundu Lissu aliongea, Spika Tulia aliongea na sasa Rais Samia ameongea na hata Watanzania waishio Marekani wameongea.
Sote tunajua Covid-19 hawajajipeleka wenyewe bungeni bali walialikwa na Dr Mahera kisha wakaapishwa na Spika Ndugai.
Lakini hata Katibu mkuu wa Chadema hakuchukua hatua zozote za kisheria kama ni kweli saini yake ilighushiwa pale Tume ya Uchaguzi
Natoa angalizo, kabla ya kuwatimua akina Halima Mdee na wenzake ni haki tena ni wajibu Mahera na Mnyika wakachunguzwa na kuchukuliwa hatua stahiki.
Ramadan kareem!