Nina amini kuna vifungu vya sheria kwenye Katiba na Kanunu za Bunge zinazoweza kutumika KUMNG'OA tokuwa na oka kiti cha Unaibu wa Spika kwa kura ya kutokuwa na imani naye.
Wabunge wote wa KUB waliotoka nje ya Ukumbi kuonyesha kutokubaliana na maamuzi ya Ndugai Mimi husema na ninasema tena JOB NDUGAI hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi! Ndugai ni Janga la Kitaifa na lazima aondoshwe kwenye kiti hicho cha Naibu wa Spika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.