Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Hivi hii nguvu wanayoitumia CCM ni kwa ajili ya serikali mbili tu au kuna kitu kingine wanataka kuficha ndani ya huu mchakato wa katiba?? Mimi naisubiri kwa hamu sana KURA YA MAONI juu ya katiba, kamwe hatutakubali CCM watupitishie katiba yao kuwa yetu.