MNYIKA na UMAARUFU wa KULAZIMISHA

MNYIKA na UMAARUFU wa KULAZIMISHA

charityboy

Senior Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
138
Reaction score
4
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

jaribu kuangalia vizuri kazi za wabunge
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

wewe umetumwa na hao hao Si Si Em,

Majukumu ya MBUGE ni yapi Bungeni?

Acha kukurupuka,
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

Ukikua utaacha.
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

CharityBoy, this is the home of Great Thinkers. Mbona unaleta hoja za kipuuzi namna hii?

Kwanza nina wasiwasi kama wewe ni mwana-Ubungo na pili nina wasiwasi kama umepiga kura.

Kama umepiga kura basi nina wasiwasi na ubongo wako maana unampigia kura mtu ambae hajui majukumu yake.

Nakushauri fuatilia hii link ujue majukumu ya Mnyika halafu utajigundua kuwa akili yako haiko vizuri na hustahili kuwepo JF http://www.tanzania.go.tz/images/katibamuungano.pdf
 
Changamsha akiri,katiba imechangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa miradi ya maendeleo hapo ubungo.So swala analodai mnyika ni la msingi sana.Katiba ikibadilishwa uchakachuaji utapungua na uwajibikaji utaongezeka.Maendeleo ubungo utayaona nini tena unataka zaidi ya hapo?
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
ina maana wewe baod zile sindan za usingizi walizkudunga ccm bado hazijaisha nguvu tu?!!! zinduka, wenzio wameshaanza safari we bado uko usingiini tu...polesana maana hujui ulitendalo....
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

ziongeze sheria humu ndani Jamvini Ya kuwa mtu akipost UZI usio na kichwa wala miguu azuiliwe kwa wiki moja kushiriki wana jaza serve tu hawa p*****f**
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Kwa hiyo nyie mkipewa maji ndiyo basi, kiu yenu kwisha.
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

Hauna tofauti na kahaba,kura yenyewe haukupiga,na hata kama ulipiga hukumpa!
Kama ulimpa basi anacho fanya ni moja kati ya majukumu yake!
kama ulidhani ata kuletea chakula nyumbani imekula kwako fanya kazi
 
Wanaubungo tuko pamoja kijana wetu,achana nao hao vibaraka wanaofikiri kazi yako ni ukandarasi wa mabomba ya maji
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

Huyu mtatiro walimchagua wananchi au wwe binafsi?ni suala ku2mia logic na nina 100% wwe cio mkazi wa ubungo 2ache na Mnyika we2 tuliyemchagua kwa ajili ya maendeleo ya ubngo!
 
Jamani tumuelimishe na ikiwepo kumpa role profile za wabunge ikiwezekana na siyo kumshambulia hivi na msisahau kuwa humu jamvini walioko ni magreat thinkers na kama ni litle thinkers tumwelimishe kama ifuatavyo

Charityboy ni hivi mbunge anaweza kuwa litle thinkers akaanza kutetea hoja za barabara ya kuelekea jimboni kwake na akajiona ana hoja na akapiwa makofi na kuungwa mkono na wenzake ilhali nchi kuna matatizo luluki yanayotukabili ambayo kama yatatatuliwa ontime yatasababisaha mabadiliko makubwa na kuifunika ile hoja yake na ndiyo maana SUALA LA MNYIKA KUSHIKIA BANGO KATIBA MPYA AMBAYO ITALETA MABADILIKO MAKUBWA NA KUONDOA URASIMU NA KERO MBALIMBALI ZIKIWEMO HIZO ZA MAJI.

HII NI HOJA YA KITAIFA ZAIDI NA SIYO HOJA YA KIUBUNGO AU KIJIMBO AMBAPO TUNATAMANI KAMA WABUNGE WETU WOTE WAUNGANE WASIMAMISHE HOJA ZA NGUVU ZA KITAIFA NA TUTAPUNGUZA MATATIZO YASIYO YA LAZIMA.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!

Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.

Inaonekana unafanya kazi maalum hamu jamvini. Maana post inasema "Katiba mpya ya chadema hatuitaki". Ni wazi kuwa unachofanya ni kufanya mashambulizi dhidi ya Chadema lakini kwa kutumia mada tofauti tofauti.

Kwa akili yako ndogo suala la maji ni kubwa kuliko Katiba? Hilo unataka kuwaambia majuha au watu wenye akili timamu.
 
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!<br />
<br />
waache waliompa kura waseme, wewe si ulimpa kijana wako au. Anatumikia wanaubungo sema unaleta majungu kwa hasira za kushindwa. Ummarufu wa mnyika ni original, na inaonekana bado humjui wewe
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
<br />
<br />
 
Mpuuzi hana alama mwilini ila kwa matendo yake na maneno yake utamuelewa tu hata sasa rudi CCM hatuhitaji mazezeta wa kufikiria huku...:redfaces:
 
Jamani tumuelimishe na ikiwepo kumpa role profile za wabunge ikiwezekana na siyo kumshambulia hivi na msisahau kuwa humu jamvini walioko ni magreat thinkers na kama ni litle thinkers tumwelimishe kama ifuatavyo

Charityboy ni hivi mbunge anaweza kuwa litle thinkers akaanza kutetea hoja za barabara ya kuelekea jimboni kwake na akajiona ana hoja na akapiwa makofi na kuungwa mkono na wenzake ilhali nchi kuna matatizo luluki yanayotukabili ambayo kama yatatatuliwa ontime yatasababisaha mabadiliko makubwa na kuifunika ile hoja yake na ndiyo maana SUALA LA MNYIKA KUSHIKIA BANGO KATIBA MPYA AMBAYO ITALETA MABADILIKO MAKUBWA NA KUONDOA URASIMU NA KERO MBALIMBALI ZIKIWEMO HIZO ZA MAJI.

HII NI HOJA YA KITAIFA ZAIDI NA SIYO HOJA YA KIUBUNGO AU KIJIMBO AMBAPO TUNATAMANI KAMA WABUNGE WETU WOTE WAUNGANE WASIMAMISHE HOJA ZA NGUVU ZA KITAIFA NA TUTAPUNGUZA MATATIZO YASIYO YA LAZIMA.

Mungu ibariki Tanzania.

hata walimu huwa wanajua ni nani yuko tandishika sometimes,watu kama hawa either ni mjinga au anajua anacho fanya lakini anataka tu kuchezea akili za watu.

Una hangaika na mtu ambaye hatakuelewa zaidi utamaliza nguvu zako tu!
 
Back
Top Bottom