Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

Mnyika kuzindua kanda ya Kusini rasmi

ulitoa ushauri wako wakaja na sababu nyepesi dhidi ya hoja zako kubwa, leo wamefwata ushauri wako bado unalalmika, sasa sijui unataka wafanye nini?

Anataka wajikombe kwake na kumpigia magoti.Chadema hakunaga Ayatollah...!!
 
ulitoa ushauri wako wakaja na sababu nyepesi dhidi ya hoja zako kubwa, leo wamefwata ushauri wako bado unalalmika, sasa sijui unataka wafanye nini?
Ushauri upi? Hoja ni kwamba wasiwe wanadanganya wote wanaposhindwa kutekeleza wajibu wao!
 
Kuna wakati niliwa-criticize CHADEMA humu jamvini kwa tabia yao ya kutotaka kwenda kwenye baadhi ya mikoa halafu wakiimbulia kura mbili, wanachama na mashabiki wao wanaanza kuwakejeli watu wa huko kwamba hawakusoma ndio maana wako nyuma katika "kupigania ukombozi!" huku wakidhani kwamba watu, hususani wa kusini wa kusini ni wapumbavu wanaoweza kumpigia mtu kura kwavile tu wanamsikia!

Katika kujibu shutuma hizo, akatokea mwana-CHADEMA mmoja akasema CHADEMA haijaweka nguvu kusini kwa sababu kule ni ngome ya CUF kwahiyo wasingependa kushindana na mwenza wao! Binafsi niliita huo ni utetezi wa kijinga kabisa usio na maana yoyote! Sasa je, ina maana hii leo huko kusini sio ngome tena ya CUF? Hivi mtaendelea kuwadanganya wanachama na mashabiki wenu hadi lini pale mnapofanya uzembe mnasingizia sababu zisizo na kichwa wala miguu, and very unfortunately na wao wanakubali tu!

nakumbuka kuna siku ulitoa hoja kama hiyo zamani tulikubaliana kuwa CUF isimame kwenye mikoa ya pwani na chadema isimame kwenye mikoa ya bara.. tukaja kuparanganyika lakini kwasasa tuna makubaliano mapya kuwa kila chama kijijenge lakini kusimamisha mgombea kitasimamisha chama ambacho kina kubalika maeneo hayo....
kuhusu chadema kutokuwepo Mtwara sijui ni kwa kipimo gani maana ikumbukwe baada ya uchaguzi mkuu kwisha chadema ilitangaza kufanya operesheni nchi nzima na kati ya sehemu ambayo ilizaa matunda ni Mtwara ambapo tulitoa elimu kwa wananchi na kujitambua hali iliyopelekea ccm kuzuia siasa mikoa hiyo na kuanza kamata kamata ili kuwatisha wananchi chadema ilipeleka wanasheria wake huko kuhakikisha haki inatendeka kuwa kila mwananchi aliyeonewa anapata haki kwa kumpatia mwanasheria..
lema.jpg
Hii ni picha ya Godbless Lema akiwa moja ya mikutano iliyofanyika siku chache kabla mikutano ya kisiasa haijapigwa marufuku lakini tunajua ccm walikuwa wanaendelea na siasa...
umatimtwara.jpg
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa M4C (Movement For Change), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa mwaka 2012.
 
ulitoa ushauri wako wakaja na sababu nyepesi dhidi ya hoja zako kubwa, leo wamefwata ushauri wako bado unalalmika, sasa sijui unataka wafanye nini?

Chadema mtwara tupo na tuna nguvu...
 
Akili hauna wewe mzee... unaweza kusema ni wapi nimeichafua hiyo CHADEMA? By the way, wewe una haki gani ya kuniambia niingie thead ipi na ipi nisiingie? Eti "tutaendelea" wewe na nani? Peleka mbele hu upumbavu wako kama unadhani kila mtu ni mtu wa kushangilia kila kitu, then you're very wrong!

Vipi Njombe leo mmepata sapoti ya CCM kubeba watu na malori??

Na jana Songea mligawa kadi ngapi? Tuanzie hapo...
 
Kamanda vipi?.Mbona unaonekana una raha sana,mnaenda kuvunja ngome za CUF kwa mwamvuli wa UKAWA.Mimi nawatakia kila la kheli lakini nchi hii inahitaji WAZALENDO zaidi.Tukimaliza ziara ya mikoa kumi,Tunakuja kaskazini kuhubili uzalendo na kutoa majawabu ya matatizo yanayo ikumba nchi yetu.Watanzania wa sasa ni waelewa huwa wanapima mambo kabla yakufanya uamuzi,Nachowasihi mnadi sera zenu huko mtwara mtawafanyia nini wananchi na mtaunda serikali ya aina gani baada ya kuingia IKULU.Nawatakia kila la kheli MAKAMANDA lkn mkumbuke kutenda yale mnayohubili.
Hawana jipya.walisha waambia ni maskini nawajinga
 
Mzalendo subirini dawa iwaingie chama chetu kimeingia mifupani mwa watanzania, nyie kujaza watu si ajabu kwani hata yamoto band huwa wanajaza watu.

Haya mkuu lakini setegemei tena,Kuona mnajisifu kujaza kwamba mmejaza watu wengi kwenye mikutano yenu,Maana hata YAMOTO BAND wanajaza.Mkuu siku zote usiwe mfia vyama badala yake uwe mfia nchi ndio utafanikiwa katika kuleta ukombozi wataifa hili.
 
Hamna shida KAMANDA.Mjitahidi tu kunadi sera mtafanikiwa.Lakini mkikalia kusema fulani na fulani nii fisadi,Sijui fulani anatumwa na ccm kamwe hamtofanikiwa.

Tatizo la ACT ni kwamba hamjua adui yenu halisi ni nani either CHADEMA au CCM, hatujui mnapigania nini ujamaa au kitu gani, mnahubiri uwazi na uwajibikaji kitu ambacho ndiyo agenda kuu ya CHADEMA siku zote, sijui kuna jipya lipi kutoka kwenu.

Nipende kudeclare interest, Viongozi wakuu wa ACT Shaban Mambo, Mtemelwa na Kansa Mbarouk ninawafahamu fika na misimamo yao, kwanza hawa jamaa hata kwao tu hawakubaliki ni vigeugeu mfano Kansa Mbarouk kutwa kushinda kwenye magenge ya kahawa na baskeli yake kubishana tu ujinga na wazee, hawaaminiki kabisa ndio utashangaa kule Tabora (HomeLand) huona bora kuichagua CCM maana safu hii oil chafu iliyokuwa kule ilikuwa ni utumbo mtupu ndio maana utashangaa kuona CHADEMA imepata nguvu kubwa Tabora mjini hasa baada ya hawa jamaa kutimkia ACT.

Hebu fikiria, kuanzia mwenyekiti wa CHADEMA Kansa Mbarouk, katibu, mratibu na mwenyekiti BAVICHA walikuwa ni ndugu wa damu, kutwa kupigana majungu watu ofisini, hivi sasa chama kimepumua na kujitanua sana hakuna tena ujinga wa hawa jamaa.
 
nakumbuka kuna siku ulitoa hoja kama hiyo zamani tulikubaliana kuwa CUF isimame kwenye mikoa ya pwani na chadema isimame kwenye mikoa ya bara.. tukaja kuparanganyika lakini kwasasa tuna makubaliano mapya kuwa kila chama kijijenge lakini kusimamisha mgombea kitasimamisha chama ambacho kina kubalika maeneo hayo....
kuhusu chadema kutokuwepo Mtwara sijui ni kwa kipimo gani maana ikumbukwe baada ya uchaguzi mkuu kwisha chadema ilitangaza kufanya operesheni nchi nzima na kati ya sehemu ambayo ilizaa matunda ni Mtwara ambapo tulitoa elimu kwa wananchi na kujitambua hali iliyopelekea ccm kuzuia siasa mikoa hiyo na kuanza kamata kamata ili kuwatisha wananchi chadema ilipeleka wanasheria wake huko kuhakikisha haki inatendeka kuwa kila mwananchi aliyeonewa anapata haki kwa kumpatia mwanasheria..
View attachment 242221
Hii ni picha ya Godbless Lema akiwa moja ya mikutano iliyofanyika siku chache kabla mikutano ya kisiasa haijapigwa marufuku lakini tunajua ccm walikuwa wanaendelea na siasa...
View attachment 242220
Sehemu ya maelfu ya wananchi wa mji wa Mtwara na vitongoji vyake, wakiwasikiliza viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika mkutano wa hadhara wa M4C (Movement For Change), uliofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa mwaka 2012.
Haya ndo maelezo yanayotakiwa nashangaa kuna watu wengine badala ya kuleta hoja wanaanza kashifa za kijinga... sijui ni lini watakuja kukubali kwamba haiwezekani wakati wote watu wawe na mawazo yanayofanana na pale unapotoa mawazo tofauti na wao unaanza kukashifiwa!

Tukija upande wa Mtwara, kama umenisoma visuri hakuna popote nilipoitaja Mtwara lakini nimezungumzia Kusini kwa ujumla! Tena, pamoja na ile hoja ambayo tuliijadili kwa kina na wewe mara ya kwanza, kuna siku nilizungumzia ni watu wa aina gani wanapaswa kutia nguvu mikoa ya Kusini na maeneo yale ambayo uungwaji mkono bado ni mdogo! Kwangu mimi bado naamini kwamba kuna baadhi ya watu wana influence kubwa kuliko wengine... na kwamba, bado naamini watu kama akina Mnyika wenye ushawawishi wanaweza kuwekeza nguvu zao huko bila kuathiri utendaji wa kila siku wa Makao Makuu! Hoja ikiwa kwamba, viongozi wa CHADEMA Kanda ya Kusini tayari wameshashindwa kazi kwahiyo, wala hapakuwa na ubaya wowote wa Kanda sawa na hiyo kuongozwa na Wa-CHADEMA wengine wenye influence hata kama sio wakazi wa huko! Huwezi kumchukua mtu ambae ameshindwa kueneza chama over the past 10 years halafu tena unampa Ukurugenzi wa Kanda au kitu kinachofanana na hicho coz' hapo awali alishindwa si kwa sababu hapakuwa na kanda bali ni incompetent!
 
Chadema hamtuonei huruma? Huku Lissu na Lema, kule Bavicha, pale Jj mnyika, hapa Mawazo

Ha ha ha haaaa! Habari ndio hiyo; full kugawa dosi lengo ni kukomboa mtanzania anayenyonywa na cancer mbaya iitwayo chama cha mapinduzi aka CCM
 
Safiii Mnyika ww imerisheni Kanda Maccm yenyewe yanapambana kudhulumu Madereva pamoja na Wafanya biashara.
 
Vipi Njombe leo mmepata sapoti ya CCM kubeba watu na malori??

Na jana Songea mligawa kadi ngapi? Tuanzie hapo...

Mkuu hatukupata sapoti ya CCM yeyote watu walikuja kwa utashi wao.Pia kuhusu kugawa kadi tuligawa kadi nyingi tu,Lakini jambo la muhimu lakuelewa kuna wanachama na washabiki.Sisi tunalenga zaidi watu wa hali ya chini kabisa mana tunaamini ndio wapiga kura.Na leo JOMBE mkutano upo kama ulivyopangwa hata akija mtu mmoja tu kutusikiliza inatosha xn.KALIBU ACT WAZALENDO tuirudishe nchi kwenye MISINGI.
 
Angalia unavyohangaika, mara:
Acha porojo wewe mfuasi wa CCM.Subiri dawa ikuingie vizuri.

Mtadata sana mwaka huu CCM na vibaraka wenu!
Kisha tena,
Unipuuze usinipuuze its none of my business..Kinachokukimbiza kila thread ya CDM kuja kutukuza CCM ni kitu gani? Tutaendelea kuonyesha rangi zako kwa hali yoyote mpaka siku utakapoacha kuhangaika na kuchafua Chadema.
Hatimae:
Vipi Njombe leo mmepata sapoti ya CCM kubeba watu na malori??
Na jana Songea mligawa kadi ngapi? Tuanzie hapo...
What a nonsense! Sasa kama unaamini mimi ni mwana-CCM huo upuuzi wako kwamba vp nimepata support ya CCM unatoka wapi? Narudia, wewe ni mtu mzima, na usipojifunza kujiheshimu mwenyewe no one will respect you, mpumbavu mkubwa wee!
 
Mmechelewa, Mtwara twasubiri kuipokea ACT Wazalendo, Chadema ni chama cha kaskazini

We kinabo, kwa hiyo na ACT - Msaliti Mkuu ni cha watu wa Kusini? Akili zako hovyo kabisa
 
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kitakuwa na kikao cha Kanda ya Kusini ambacho hotuba ya ufunguzi itatolewa na NKMB JJ Mnyika, leo kuanzia saa 10.00 asubuhi Ukumbi wa, karibu na Maisha Club. kesho pia atafanya mkutano mkubwa hapo Mtwara Mjini kuanzia saa 8 mchana.
Ziara hiyo ni mwendelezo wa maboresho ya Kanda za Chama ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi Mkuu..

Inafurahisha sana.mipango imekaa poa sana,ss wanachama wa kawaida tunaendeleza sera zetu kwenye vijue vya kahawa,kwenye mabar na majumbani mwetu mpaka kieleweke
 
Angalia unavyohangaika, mara:
Kisha tena,Hatimae:What a nonsense! Sasa kama unaamini mimi ni mwana-CCM huo upuuzi wako kwamba vp nimepata support ya CCM unatoka wapi? Narudia, wewe ni mtu mzima, na usipojifunza kujiheshimu mwenyewe no one will respect you, mpumbavu mkubwa wee!

Umeambiwa utulie dawa ikuingie vizuri. Acha porojo. Acha kupaniki.
 
Ushauri upi? Hoja ni kwamba wasiwe wanadanganya wote wanaposhindwa kutekeleza wajibu wao!

Mara kwa mara NasDaz Waberoya Pasco mmekuwa mkijitahidi kujionesha kuwa ni neutral katika politics, lakini kwa bahati mbaya mmekuwa mkishindwa kumaintain uneutral wenu hatimaye na rangi zenu halisi kujulikana kuwa ni magamba halisi,

Hata siku moja huwezi kuwa neutral in the matter of justice.

When your neutral in the matter of oppression and injustice, you have chosen on the side of oppressor"-(Mahatma Ghandi)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom