JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
John Mnyika na Halima Mdee wanatarajiwa kuongoza maandamano ya amani kesho tarehe 14 Oktoba 2009 kwa ajili ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kuanzia saa 2 asubuhi yatakayoanzia Tanganyika Packers - Kawe na kupitia maeneo aliyofanyia kazi Mwalimu (Mikocheni, Msasani, Kinondoni, Magomeni, Manzese mpaka Ubungo.
Polisi wametoa kibali kwa ajili ya maandamano haya jioni ya leo na hivyo basi John Mnyika anaomba watanzania watakaopata fursa ya kuungana nao wasisite kushirikiana nao hiyo kesho.
Ni taarifa iliyotufikia toka kwa Mnyika (member wa JF) dakika chache zilizopita
Polisi wametoa kibali kwa ajili ya maandamano haya jioni ya leo na hivyo basi John Mnyika anaomba watanzania watakaopata fursa ya kuungana nao wasisite kushirikiana nao hiyo kesho.
Ni taarifa iliyotufikia toka kwa Mnyika (member wa JF) dakika chache zilizopita