Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 24,116
- 29,566
CCM imeleta maendeleo gani katika umri wa uzee wa mtu mzima? Hill ndilo lingeanza kabla ya Mnyika kwani yeye amekulia ndani ya nchi isiyo na maendeleo.
Kama hajaleta maendeleo nenda kagombee nae mwaka 2020 hapo utakuwa umemaliza malalamikoNaomba kuuliza kwa watu wenye mapenzi mema na CHADEMA hivi Mnyika toka kawa mbunge ameleta maendeleo gan jimboni kwake zaidi ya kelele anazopiga bungeni?
Pia ushauri mdogo tu kwa CHADEMA muishio Ubungo jimbo litabaki nyuma kama hamtombadilisha uchaguzi ujao,kama hampendi CCM mpeni CHADEMA mwingine.