Ahaaaa! Kwa hiyo barabara kuu zinajengwa na serikali, ila barabara za jimbo na manispaa zinajengwa na Mnyika. Sasa nimeelewa. Nisichoelewa tu ni wapi Mnyika anatakiwa akchote fedha za kujengea barabara za manispaa.
TANGAZO KWA UMMA
Ndugu wananchi, kuanzia leo mnapaswa kuelewa kuwa Hon. John Mnyika MP ni Manispaa. Kwa hiyo Ukitaka kibali au Leseni ya biashara, usiende kwenye ofisi za manispaa ya Kinondoni, uende nyumbani kwa Mnyika. Yeye (Mnyika) ndio anawajibika kujenga barabara za manispaa (kwa kuwa yeye ni manispaa) na kupeleka mahitaji ya muhimu nyumbani kwa
iron2012.
Signed
iron2012, head stupid
13.02.2013
CC: Hon.
La Biblicana