Sema amejua kuwa hilo ni kabila kubwa haitishiwi nyau!..inawezekana ni hasira za mama yake baada ya mzazi mwenzake kumkimbia.
..huwezi kumlaumu John kwa makosa ya wazazi wake.
..at least amewatendea haki kwa kuwakiri wote wawili hadharani.
Sema amejua kuwa hilo ni kabila kubwa haitishiwi nyau!..inawezekana ni hasira za mama yake baada ya mzazi mwenzake kumkimbia.
..huwezi kumlaumu John kwa makosa ya wazazi wake.
..at least amewatendea haki kwa kuwakiri wote wawili hadharani.
..huu ni Uchifu au Utemi wa heshima.
..kama baba yake alimkataa, kosa ni la baba siyo mtoto / John.
..Na John inaelekea amemsamehe Mzee wake na anamkubali. Angekuwa hamkubali asingejitaja kuwa yeye ni Msukuma.
..Pitia video clip Mnyika anasema babu yake ni Mikael Masalu, na baba yake mzazi ni John Michael Dalali na amelelewa ktk himaya ya Mtemi Kafipa.
Naona kimekupoa na sasa umekuwa mdogo kama pirtonSema amejua kuwa hilo ni kabila kubwa haitishiwi nyau!
Basi tuliza akili.
Nilishajaribu kukufundisha hapa JF, lakini hujifunzi kitu.
Unapoweka mabandiko yako hapa JF usiwe na kiherehere na kurukaruka kama kuku anayenyofolewa na manyoya.
Kheri ya Mwaka Mpya.
..inawezekana ni hasira za mama yake baada ya mzazi mwenzake kumkimbia.
..huwezi kumlaumu John kwa makosa ya wazazi wake.
..at least amewatendea haki kwa kuwakiri wote wawili hadharani.
Kwanini hatumii jina la ukoo wake sasa la Masalu au Dalali lakini anatumia jina la Kipare la Mnyika?
Ataongoza Wapare na Wachaga!Utatulia tu maana tayari ushapata chief MALONJA huna jinsi bali ni kukubali kuongozwa naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataongoza Wapare na Wachaga!
Hatuna Chifu mfupi kiasi hicho! Huyo labda chifu wa wapare na wachaga.
Habari kamili hii hapa, jina lake jipya ni Chifu Malonja.
View attachment 1306462
View attachment 1306463
View attachment 1306465
Habari kamili hii hapa, jina lake jipya ni Chifu Malonja.
View attachment 1306462
View attachment 1306463
View attachment 1306465
Hatuna Chifu mfupi kiasi hicho! Huyo labda chifu wa wapare na wachaga.
Wewe unaye jua ni vema sasa ukawasaidia wasiyo jua ndiyo maana hapa pakaitwa GTAmesimikwa???!!, hivi nyinyi mnajua Kiswahili???--- mnajua maana ya mtu KUSIMIKWA??.
Kasimikwa??!!
Wewe unaye jua ni vema sasa ukawasaidia wasiyo jua ndiyo maana hapa pakaitwa GT
Sent using Jamii Forums mobile app
Baki hivyo hivyo na ukilaza wako. Huendi popote. Hata huko CHADEMA unakojijongeza nao watakuona mpuuzi usiekuwa na mchango wowote wa kukisaidia chama, badala yake unakitia hasara..Wewe huna sifa ya kunifundisha jambo lolote lile maana akili zako zinakusaidia wewe kwendea msalani
Sent using Jamii Forums mobile app
Baki hivyo hivyo na ukilaza wako. Huendi popote. Hata huko CHADEMA unakojijongeza nao watakuona mpuuzi usiekuwa na mchango wowote wa kukisaidia chama, badala yake unakitia hasara..
Baki hivyo hivyo na ukilaza wako. Huendi popote. Hata huko CHADEMA unakojijongeza nao watakuona mpuuzi usiekuwa na mchango wowote wa kukisaidia chama, badala yake unakitia hasara..
Si ndio sababu nakwambia akili kichwani mwako ni kiduchu? Umeona wapi nikiwa "mramba viatu"?Hilo ndiyo tatizo la nyinyi waramba viatu, yaani mtu akiipenda cdm basi huyo ni adui wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app