Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Pole sana maana mimi nipo na bado sana sana nitaendelea kuwepo maana ndiyo chama kinachopendwa na mamilioni ya watanzania
Toka siku ile nilipokudharau na kukuona kuwa huna faida yoyote kwa CHADEMA, pamoja na wewe kuendelea kujitangaza kuwa upo huko.
Kati ya wanachama wasiokuwa na manufaa ndani ya chama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiangalia nyomi la diamond kigoma naona hawa jamaa hawako serious.
 
Mwambieni asije akajitamburisha hivyo akija mwanza atapondwa mawe. Wasukuma hatuna huo ujinga harafu hatupendi furugu huo uchifu akapewe kwao upateni. Ipo cku mtamsikia .
 
Nimpe siri akienda mwanza awe naulinzi mkari sana vijana wa kisukuma wanajipanga kumfanyia kitu mbayaaa sana ambayo itamwachia arama ktk maisha yake yte. Higo nidharau kw koo zte za kisukuma.
 
Pole sana maana mimi nipo na bado sana sana nitaendelea kuwepo maana ndiyo chama kinachopendwa na mamilioni ya watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuwepo huko, lakini tambua kuwepo kwako huko na kujifanya mjuaji na kujitambulisha na mambo ya chama hicho ni hasara kwa chama chenyewe.

Kama ni kweli upo huko, inafaa wakufunge gavana. Unawatia hasara.
 
Endelea kuwepo huko, lakini tambua kuwepo kwako huko na kujifanya mjuaji na kujitambulisha na mambo ya chama hicho ni hasara kwa chama chenyewe.

Kama ni kweli upo huko, inafaa wakufunge gavana. Unawatia hasara.
Upo wapi.
 
Kama wewe unavyo kitia hasara chama chako cha kijani
Endelea kuwepo huko, lakini tambua kuwepo kwako huko na kujifanya mjuaji na kujitambulisha na mambo ya chama hicho ni hasara kwa chama chenyewe.

Kama ni kweli upo huko, inafaa wakufunge gavana. Unawatia hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…