kintu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 540
- 133
Kwani tatizo liko wapi kama wote watashirkiana kulinda si ndo ulizi utakuwa imara.
Maaan kila mara nasikia makamanda wanasema jukumu la ulizi ni let sote.
Sasa watu wameamua kushirikiana kulinda watu waanapiga kelele?
Rai yangu ni kuwa vyama vyote vishirikiane kulinda kura.
Maaan kila mara nasikia makamanda wanasema jukumu la ulizi ni let sote.
Sasa watu wameamua kushirikiana kulinda watu waanapiga kelele?
Rai yangu ni kuwa vyama vyote vishirikiane kulinda kura.