Mnyika aongea na waandishi ngome kuu ya UKAWA, awajibu NEC

Kwani tatizo liko wapi kama wote watashirkiana kulinda si ndo ulizi utakuwa imara.

Maaan kila mara nasikia makamanda wanasema jukumu la ulizi ni let sote.

Sasa watu wameamua kushirikiana kulinda watu waanapiga kelele?

Rai yangu ni kuwa vyama vyote vishirikiane kulinda kura.
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

Tulia wewe gamba..... Punguza povu
 
Mbona unatoa povu, wanalinda kura ni Ukawa, CCM zao ziko salama. Wao wakisha piga kura watarudi nyumbani, halafu tume itawapelekea matokeo nyumbani au watangaziwa kwenye vyombo vya habari.

Sasa vurugu itatoka wapi ? haiwezekani Ukawa wavurugane wao kwa wao.

Hivi ww ndo uwe msimamizi wa kituo cha kupigia kura unaanzajeanzaje kuwatangazia wahuni wa ukawa kwamba mtu wao kashindwa ata kama kihalali? Cha muhimu apa kwa kuwa ukawa wamemwaga ugali then ccm wamwage mboga wawaambie watu wao waende kulinda kura then tuone nini kitatokea.
 
TumainiEl wapi umeguswa? naona umepaniki?/
-->>madiwani,wabunge msilale tarehe 25 kwa USALAMA WA KURA ZENU,NA ZAURAIS KWA UJUMLA!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha Pumbavu ninyi chadema hizi taarifa mngetoa siku moja kabla ya Uchaguzi, huku:D:D Lumumba mnatuua na Presha

Mdogo wangu J.makamba-ko karibu anazeeka kwakuwaza mbinu mpya daily, yule mwingine Mwigulu amesahau hata kunyoa ndevu saizi anafanana na Okwonkwo .

Believe me wanaweza kata umeme tangu jumamos mchana mpk alhamis. Ila nimeandaa jenerator na mafuta watu wote nitatoa tv nje waangalie 24hrs



Kha ha ha haaaaaaaaaaa!!!!! Nimefurahi sana na post hii Kamanda wangu!!!
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

Linapokuja swala la Kulinda kura jasho linawatoka matundu yote ya mwilini
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

Wewe ni nani unatuksna watu kana kwamba nchi hii ni yako na ccm pekee! Kuna ubaya gani chama kutangazia wanachama wake matokeo yao! Mbona Kenya walikuwa wanatangaza kwenye media online? Mnaogopa nini kuweka mambo wazi tu?
 
Hivi ww ndo uwe msimamizi wa kituo cha kupigia kura unaanzajeanzaje kuwatangazia wahuni wa ukawa kwamba mtu wao kashindwa ata kama kihalali? Cha muhimu apa kwa kuwa ukawa wamemwaga ugali then ccm wamwage mboga wawaambie watu wao waende kulinda kura then tuone nini kitatokea.

Kumbe mnaogopa UKAWA, sasa subirini, kura lazima zilindwe.
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko.Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

CCM hawawezi kulinda kura sababu wao ndo wezi. Ni lazima kura ilindwe dhidi ya hawa wadharimu!!
 
inashangaza wapiga kura wanapokuwa hawajali ujanja wa kuibiwa kura, je wao ndio waizi?

inapokuwa watu mmeweka magunia ya mazao sehemu. mnapanga pamoja mbinu ya kuyakuta kesho, mwenzenu mmoja anasema tache tukalale, tusiajiri mlinzi, huyo bado ni mwenzenu??

Hivi nyie mnaohisi kuwa kura haziibiwi, wakati miaka yote zinaibiwa, mna siri gani?
 
View attachment 293068

Mnyika anafanya Press Conference kutokea Ngome ya UKAWA Kawe Jijini Dar muda huu.


Mnyika:Katika Magazeti Yenu Jana mlimnukuu M/kiti wa TUME akijibu tuhuma za UKAWA juu ya mazingira ya wizi wa Kura

Mnyika: Jaji Lubuva Jana amejibu kwa wepesi tuhuma za wizi wa kura

Mnyika: Lubuva anasema ukishapiga kura rudi Nyumbani. Nawaomba vijana na wapiga kura wengine waipuuze kauli ya Jaji Lubuva!

Mnyika: Jaji Lubuva amedai yupo tayari kuziba mianya ya wizi wa kura.Nitataja mianya hiyo ili Jaji Lubuva ajibu masuala haya!

Mnyika: Matokeo ya Rais kubandikwa kituoni sio jambo jipya. Ni suala la kisheria. Nawaomba watu wasome sheria ya Uchaguzi

Mnyika: Masanduku ya kura kupelekwa kituo cha majumuisho sio jambo Jipya.

Mnyika:Lubuva anasema matokeo yatascaniwa jimboni.Hili sio jambo jipya. Mwaka 2010 matokeo yaliyoscaniwa yalikuwa tofauti na karatasi halisi

Mnyika: Jaji Lubuva aseme hadharani, ni lini wataalamu wetu wa IT wakakague na kuhakiki mfumo wa kutuma matokeo ili kuepuka goli la mkono

Mnyika: mfumo wa kujumlisha kura mwaka 2010 ulikuwa na mapungufu makubwa yaliyopelekea uchakachuaji wa kura!

Mnyika: Jaji Lubuva amesema uhakiki umefungwa, kuna jambo kubwa limejificha.Kama hakuna uhakiki daftari limeshakuwa la kudumu!

Mnyika: Mpaka tunavyozungumza hatujakabidhiwa daftari la kudumu la wapiga kura, Takwimu zinazotolewa idadi ya wapiga kura haziaminiki!

Mnyika: Tume iseme ni kwa nini mpaka sasa hawajatoa nakala za "soft copies" kwa vyama vya siasa ili wazihakiki?Hapa bao la mkono limejificha

Mnyika: UKAWA na vyama vingine Lazima viende kuhakiki Database ya Tume Makao makuu. Kwanini Lubuva hataki sisi tuende kuhakiki?

Mnyika: Jaji Lubuva anasema ipo kamati ya IT, muulizeni hiyo kamati ya IT ya vyama vya siasa inaundwa na nani?

Mnyika: Majeshi kuandikisha namba za askari, IGP alikiri jeshi kufanya hivyo kwa baadhi ya mikoa, kuna kitu kimejificha!

Mnyika:IGP alikiri suala hili limefanyika, msemaji wa TPDF alikanusha, kauli zao zilikinzana.Tume iseme ni kwanini majeshi yaliandika namba?

Mnyika: Suala la kuhamisha watumishi wa Tume, limeamia kwa wakurugenzi baada ya Rais, kuteua mkurugenzi Mpya!

Maswali: David Radio5: Wapiga kura wa Mara ya kwanza, na wasiojua utaratibu je wanabakia wapi baada ya kupiga kura?

Mnyika: Wapiga kura, wawe makini kuhakikisha wanapiga kura Siku ya tarehe 25 Oktoba!

Mnyika: Daftari la kudumu halitolewi kwa wakati ili kuruhusu goli la mkono!

Mnyika: wapiga kura wajielekeze kuangalia majina ndani ya daftari la wapiga kura na sio orodha ya wapiga kura inayobandikwa nje ya kituo!

Mnyika: Orodha ya wapiga kura inayobandikwa nje ya kituo inaandaliwa na manispaa, na daftari analopewa wakala limeandaliwa na Tume

Mnyika: Tume itoe Daftari la kudumu la wapiga kura, Jaji Lubuva amesema atalitoa daftari Siku 4 kabla ya Uchaguzi, hapa amejichanganya!

Mnyika:Hatua ya pili ni kutoa 'permanent voter register' hili ilipaswa kutolewa mapema

Mnyika: Kuna madaftari mawili, provisional voter register, hili tulitakiwa kupewa kabla ya uhakiki wa wapiga kura, hili hatujapewa!

Mnyika: Rai yangu kwa wana UKAWA, wasikate tamaa kufuatia matamko ya mawaziri mbalimbali

Mnyika:Juu ya matumizi ya vyombo vya Serikali kujihusishanaUchaguzi, linaongozwa naraisi,Bunge limevunjwa ila baraza la mawaziri linaendelea

Mnyika: Iundwe kamati ya pamoja ya vyama vya siasa ya IT ikakague Daftari na kuliboresha ili kuzuia goli la mkono!

Mnyika: Swali la1: Tulianza kusema haya mambo mapema, waliamua kufumba masikio na macho!

Maswali:Fred kutoka Mtanzania: Kisheria mnatakiwa mpate soft copy ya Daftari baada ya Muda gani?

Maswali: Francis kutoka ATN: suala la uhakiki wa BVR hamuoni Siku zimebaki chache na kwanini msingeliibua suala hili mapema?

Mnyika: Tume iliwahi kukiri kuwa haiko huru mbele ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, WaTZ wasikubali faster faster hii.

Mnyika: Wanapeleka huu mchakato faster faster, rai yangu tusisubiri tarehe 25 Oktoba, tuanze sasa kudhibiti goli la mkono!

Mnyika: Ndani ya nchi tunao watazamaji wasisubiri mpaka Uchaguzi uishe, waende Tume kutazama mfumo huu wa ujumlishaji wa kura

Mnyika: Nawaomba 'Waangalizi wa Uchaguzi' watoe ripoti zao mapema juu ya haya masuala!

Mnyika: Tume ya Uchaguzi sio Mali ya watu binafsi, ni tume ya Taifa letu.

Mnyika: Kijana ukishaona matokeo yamebandikwa, piga picha matokeo hayo na uyatume kwenye WhatsApp!

Mnyika: Kama kuna MTU ataniita mchochezi kwa kusema 'first time voters' wakae mita 200 kusubiria matokeo basi atangulie mahakamani,

Mnyika: First time voters, kukaa ndani ni kosa kisheria, kukaa nje si kosa kisheria, kisheria wanakaa mita 200!

Maswali: David Radio5: UKAWA mtafanya nini endapo tume haitafanya mnayosisitiza wafanye?

Mnyika: Nasisitiza BVR ni Bomu la kufungwa bao la mkono, yote tuliyosema yazingatiwe na wahusika!

Maswali: Prosper - The Guardian: Mnataka wataalamu wa IT wakakague daftari pekee, vipi kuhusu ukaguzi wa idadi ya kura zilizopigwa?

Mnyika: Kama Tume haitasikiliza haya tunayosema wanajitengenezea mazingira ya kupelekwa ICC!

Mnyika: Local monitors wa Uchaguzi wapo wachache, wanasubiria matokeo majimboni, kila mpiga kura lazim awe monitor!

Mnyika: Nje ya kituo cha kupiga kura sisi wapenda Amani, tutawalinda mawakala wetu, wasirubiniwe kupokea hongo ndani ya vituo vya Uchaguzi!

Mnyika: Marando alisema atatangaza matokeo, sasa kwa sababu anaumwa yupo hospitali Mimi Mnyika nitayatangaza.

Dah, Lubuva una kazi kubwa kwelikweli!!
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

Kila anae ongea sana either ni mnafiki au ni mbea. Pointless.
 
Wakati mbowe na mbatia wanachukua mabunda ya noti kutoka kwa lowassa hotelini,ukawa walikaa mita ngapi?
 
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.

Unatafuta kisukari cha bureee
 
Back
Top Bottom