Mnyika aongea na waandishi ngome kuu ya UKAWA, awajibu NEC

Asante kaka kwa ugunduzi huo...mi nilijua haya maelezo ya lubuva yanataka kutupiga changa la macho turidhike tuubweteke wachakachue kura, sasa kwa maelezo haya...umakini utaongezeka! Ole wake wakala atakae tuuza..ahame mapema na familia yakd..huu sio mwaka wakula rushwa..itawatoka puani!
 
Namdharau sana mnyika amekuwa mropokaji hivi aliitisha press conference wkt wa mgao wa mamvi kuja cdm na wkt huohuo kuwa mgombea????
 
Anawaandaa kisaikolojia bavicha maana anaona hali mbaya..............!!!!!!!!!!!!!!

Magufuli chaguo letu,Magufuli Rais wetu 2015.
 
Magufuli atashinda kwa kati ya asilimia 64 na 76. Kwa upande wa ubunge ikiwa UKAWA itashinda majimbo 30 Tanzania Bara mnitafute na mnikate kichwa.
 
Mmeshaona inawanyeshea sasa mnatafuta sababu.

Mtaipata mwaka huu, tunaenda mapema tunapiga kura tunarudi majumbani mwetu kutazama matokeo tukisubiri kumuapisha Pombe.
 
Mmeshaona inawanyeshea sasa mnatafuta sababu.

Mtaipata mwaka huu, tunaenda mapema tunapiga kura tunarudi majumbani mwetu kutazama matokeo tukisubiri kumuapisha Pombe.

Siku zote humu ndani FaizaFoxy nakupa big up sana, maana unajua utendalo na maoni yako ni mtu anayejua nini maana ya kujitambua. Good, waache hao wasema sema mno, tarehe yao ya kuinamisha vichwa inawadia baada ya muda mfupi. Magufuli ni kiboko yao.
 
RUCCI

Nasi Tunaomba Pia Kwa MCHANGANUO Huu Huu Mnyika Nae Pia ATUAMBIE Jinsi MCHAKATO Mzima Na MGAWANYO Wa Pesa WALIZOHONGWA Na Lowassa Na KUMUUZIA Chama Cha CHADEMA Kwa Kuanzia Mbowe, Lissu Na Yeye MNYIKA Mwenyewe Na Kama Endapo ATASHINDWA Kutoa Huo UFAFANUZI Na Sisi TUTAUTOA Hapa ILI Watanzania Waweze Kujua Kati Ya NEC Na Mnyika Na UKAWA Yake Akina Nani Ndiyo WANAFIKI Na WAONGO Wa KUTUKUKA.

akuchanganulie mgawanyo wa fedha we mkew? kwa akli yako unadhan atakujibu? kma una ufanunuz toa tu na ufafanue na zile za Seth wa escrow..... kwa huo uandish c bure utakua beki Tatu wa nape
 
Last edited by a moderator:
Lubuva ajinafanya anajua sanaa lakini ukweli wananchi wanajua anakoelekea kila kitu kiko monitored humwagi mchele mbele ya kuku
 
Mmeshaona inawanyeshea sasa mnatafuta sababu.

Mtaipata mwaka huu, tunaenda mapema tunapiga kura tunarudi majumbani mwetu kutazama matokeo tukisubiri kumuapisha Pombe.

Mbona naye ni wale usiowapenda Wakatoliki ww huwaita Makafiri
 
Acheni ujinga maana kila siku ninyi mnafikilia kuibiwa tu hivi hamna kazi nyingine ya kufanya? ninyi jikiteni kutafuta kura kwa wananchi kuliko kupiga mayowe kwenye media
 
Kuendelea kufikiria kuwa utaibiwa kura na kujikita kwenye media tu ni ujinga maradufu sasa ni vyema muwaambie wananchi kuwa wananchi hawawaelewi kuliko kuwaandaa kisaikolojia kwa kudai kuna bao la mkono, maana kama uchaguzi ushajulikana na matokeo yapo wazi kuwa Magufuli kashinda
 
Kuendelea kufikiria kuwa utaibiwa kura na kujikita kwenye media tu ni ujinga maradufu sasa ni vyema muwaambie wananchi kuwa wananchi hawawaelewi kuliko kuwaandaa kisaikolojia kwa kudai kuna bao la mkono, maana kama uchaguzi ushajulikana na matokeo yapo wazi kuwa Magufuli kashinda

Sasa kampeni za chopa na mbinu zote za kum assassinate mbat.. Mara Masaburi, mara wasanii, Dr Slaa etc etc za nini fisiM???
 

Mnyika: Nje ya kituo cha kupiga kura sisi wapenda Amani, tutawalinda mawakala wetu, wasirubiniwe kupokea hongo ndani ya vituo vya Uchaguzi!


Hahahahaha, mnaonesha ni vipi msivyoaminiana.

Ikiwa Mbowe kanunuliwa siwashangai kuwa waoga namna hiyo.

Lindeni msije na sababu kuwa mmeibiwa. Kama mlivyolinda kura Kalenga na Chalinze, mkakaa kimya.

#HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom