Ukawa wameanza kuweweseka mapema, hwajiamini, zile mbwembwe za ushindi saa mbili asubuhi zimekwisha maana kazi anayofanya magufuli mikoani na majimboni wameiona na hawana pa kutokea.
Kweli anafanya kazi yakupiga pushap.
Ukawa wameanza kuweweseka mapema, hwajiamini, zile mbwembwe za ushindi saa mbili asubuhi zimekwisha maana kazi anayofanya magufuli mikoani na majimboni wameiona na hawana pa kutokea.
Namdharau sana mnyika amekuwa mropokaji hivi aliitisha press conference wkt wa mgao wa mamvi kuja cdm na wkt huohuo kuwa mgombea????