Kila siku malalamiko tu. Kama hamjajipanga subirini 2020
Hahahahaha, mnaonesha ni vipi msivyoaminiana.
Ikiwa Mbowe kanunuliwa siwashangai kuwa waoga namna hiyo.
Lindeni msije na sababu kuwa mmeibiwa. Kama mlivyolinda kura Kalenga na Chalinze, mkakaa kimya.
#HapaKaziTu
lowasa ni shidaaah...asante mtwara...leo tukutane mashujaaa...
Mi we unavyonichefua yaani umekuja juuu kama moto wa kifuuu ukumbuke tulikesha pale Loyola kukufanikisha upate ubunge maskin mnyika ulikuwa hujui hats kuvaaa Sera ilikuwa ntaleta maji ubungo mpaka Leo maji hakuna zaidi umeenda bungeni kujifunza kuvaa suti ukatusahau tuliokesha wote pale Loyola uko kibamba usipte ntafurahi kweli kwa watu jeuri kama wewe
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kinapenda kuwapa taarifa wananchi wote kuwa kitakuwa kikireport matokeo ya URAIS yatakayobandikwa kila kituo nchi nzima! mtandao wa chama unaoratibiwa na kurugenzi ya uchaguzi ya chama umebainisha azima hiyo baada ya kuwapo mtandao unaotatibiwa na intelligensia ya chama.kazi iliyopo wananchi ni kuhakikisha mnashuhudia matokeo yakibandikwa kila kituo.kaa mita 200 hiyo ni sheria na hakuna wa kubatilisha! TV mbalimbali ziko kwenye mazungumzo na CHADEMA kwa ajili ya zoezi hilo muhimu kwa taifa letu.Tume isije ikatoa matokeo tofauti na yale yaliyobandikwa kituoni!
OFISI YA MKURUGENZI WA UCHAGUZI-CHADEMA MAKAO MAKUU.
Hamchelewi kuiga maana magufuli naye kakimbia mdahalo
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.
chadema haiwalindi ccm, na ccm haiwalindi chadema, bali wapiga kura wanakaa 200m kutoka eneo la kuhesabu kura ili kuzuia watu kutoka nje ya chumba cha kuhesabia kura kujaribu au kuingia ama kuingilia utaratibu ndani ya chumba cha kuhesabia kura.acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.
acheni kuwahadaa wana nchi. Hili ni taifa letu wote msijifanye mpo juu ya sheria. In short mchezo mnaucheza ni mchezo wa hatari hakikisheni pindi mtakuwa mnachimba makaburi ya watanzania muwe mnachimba na makaburi yawatu wote wanaratibu upuuzi huu. Chadema ina iteljensia mlishindwa hata ku screen Lowasa? Nasema nikijiamini tamaa iliuwa fisi na chadema sitoshanga kuona tamaa yenu ikilitumbukiza taifa kwenye machafuko. Ccm walinde kura mita 200, chadema wafanye hvyo kila chama kikusanye watu nini kitatokea? Nilazima Mbowe na tm yako mjuwe kabla watanzania hawajadhurika kwa ujinga wenu wa tamaa nyie muwe wakwanza kudhurika na Mungu asiwasamehe kwa dhambi kubwa hii mwataka kuifanya.