naggy
Member
- Apr 27, 2011
- 97
- 152
Nathubutu kusema mh. Mnyika kuwa ni jembe, bingwa wa kufikiri. Naamini wote mtakubariana nami. Nasema hili kutokana na uwezo wake bungeni wa kujenga hoja na kukubarika na wabunge wote bila kujari itikadi. Kamanda Mnyika amekuwa bingwa wa kuweka marekebisho katika sheria zinazotungwa. Hata katika bunge la leo jioni linalojaribu kupisha sheria ya usajiri wa makampuni. Amekuwa akifanya hivyo katika sheria nyingi sana.
My take: wabunge wote wakiwa serious kama Mnyika, hakika bunge litakuwa linapitisha sheria nzuri sana. Big up kamanda Mnyika, I salute you.
My take: wabunge wote wakiwa serious kama Mnyika, hakika bunge litakuwa linapitisha sheria nzuri sana. Big up kamanda Mnyika, I salute you.