mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,743
- 6,273
Uvutaji wa shisha na kuoa hovyo ni hatari zaidi kiafya. Huyu mfalme analiwa sana duniani na ni kipenzi cha watu wanaojuwa kula vizuri.
hilo sina uhakika nalo,ngoja waje wataalamNguruwe ndio mnyama Pekee amabaye hawezi kumpanda na kumzalisha mama yake(mating)
kumbe huyu 'mdudu'anapendwa na wengi.....!naona mkuu mzizi uko one man army,Hio mboga mnajitahdi sana tena sana kuichafua sasa watumiaji tumeweka pamba masikioni tutatumia tu mana hakuna namna
[/QUOTE]Nipe kifungu chochote kwenye Qur'an kinachoruhusu kula nguruwe km ilivo kwa n'gombe,mbuzi na wanyama wengine.Quran haijakataza bana! Imesema ule ukiwa na dharura ! ! Njaa sio dharura ustaadhi?
Nipe kifungu chochote kwenye Qur'an kinachoruhusu kula nguruwe km ilivo kwa n'gombe,mbuzi na wanyama wengine.
Kweli we popoma unadhani Qur'an ni gazeti la udaku?huna ushahidi unaleta habari za Mogadishu hapa au ndo mnavofundishwa huko?Wewe unaebisha lete kifungu kilichosema "usile nguruwe". Full stop kwenye Quran....ukinionyesha ntaenda kukusaidia kujilipua Mogadishu!
Nyie kweli hamna akili pamoja na mwalimu wenu wa ugaidi!! Mnaiteteaje Quran kwa vifungu vya Biblia? ....nakuambia hakuna mahali kuruani imekataza kitimotozz! ! Kasome tena taratibu.....! Imesema ule ukiwa na dharura, sasa ndio kukataza huko ustaadhi ubwabwa!!?Kweli we popoma unadhani Qur'an ni gazeti la udaku?huna ushahidi unaleta habari za Mogadishu hapa au ndo mnavofundishwa huko?
Sasa chukua vifungu hv kasome;Qur'an (2:173)
Bibilia;Walawi(11:7-8),Isaya(66:17) ukishaelewa utanambia lini unataka twende Mogadishu sasa
Umebarikiwa kwani umeipokea kwa shukrani .Namshukuru Mungu kwa kuumba mnyama mwenye ladha maridhawa kama nguruwe. Mungu ashukuriwe kwa zawadi hii mwanana ya kitimoto
Nadhani unakaribia kuelewa ss,Qur'an haiwezi kutetewa na Bibilia,nimekupa ushahidi ndani ya Qur'an inayokataza kula nguruwe na ni haramu pia nikakupa nyongeza ya vifungu ndani ya bibilia yako ili ujue kua unakula nguruwe kwa uroho wako tu.Nyie kweli hamna akili pamoja na mwalimu wenu wa ugaidi!! Mnaiteteaje Quran kwa vifungu vya Biblia? ....nakuambia hakuna mahali kuruani imekataza kitimotozz! ! Kasome tena taratibu.....! Imesema ule ukiwa na dharura, sasa ndio kukataza huko ustaadhi ubwabwa!!?
We mfuasi wa mharibu dunia! Unaogopa nini kusema hicho kifungu kimesema nini?....narudia kuruani haijakataza kutafuna kitimotozz! !!Nadhani unakaribia kuelewa ss,Qur'an haiwezi kutetewa na Bibilia,nimekupa ushahidi ndani ya Qur'an inayokataza kula nguruwe na ni haramu pia nikakupa nyongeza ya vifungu ndani ya bibilia yako ili ujue kua unakula nguruwe kwa uroho wako tu.
Sasa wewe unasema tunakula nguruwe kwa dharura si utoe hilo andiko sasa au ndo mogadisho?
Sikiliza we duyuthi kama hujui kitu kaa kmy km unaliwa 0713
Acha kujitoa ufaham nyumbu we we,toka umeanza kulalamika hujatoa andiko hata moja unataka mi nikusaidie maandiko?inamana hata bibilia yako huiamini?We mfuasi wa mharibu dunia! Unaogopa nini kusema hicho kifungu kimesema nini?....narudia kuruani haijakataza kutafuna kitimotozz! !!

Heheheeee!! Shehe ubwabwa unategemea kitabu cha mwezio?Acha kujitoa ufaham nyumbu we we,toka umeanza kulalamika hujatoa andiko hata moja unataka mi nikusaidie maandiko?inamana hata bibilia yako huiamini?
Ningekuona unajua km ungetoa ushahidi wa kimaandiko km nilivofanya mm ili kutetea uroho wako ila upoupo tu km ngiri maji.
Sikiliza dada yng acha kupenda offer ya huyo mdudu atakupeleka Mogadishu