Mnyama wa taifa la Bongo

Mnyama wa taifa la Bongo

Hii kitu nimeshuhudia Mpaka wale wazee wa swala ngapi vile wanamla sana
 
Uchovu tu wa kufikiri....babu zetu kabla hawajeletewa dini ya kukataza kula nguruwe, waliwatafuna na kuishi maisha marefu ya afya njema kuliko nyie kina Sudi!
 
Ukiachia maandiko ya Bibilia na Qur'an kukataza kumla huyu mnyama pia zipo sababu za kiafya nyingi sana ambazo hutakiwi kumla huyu mnyama.
Halafu mnyama huyu ndo mnyama mbaya kuliko wanyama wote duniani kuanzia sura,maumbile hadi jina,eti anaitwa "NGURUWE"
Quran haijakataza bana! Imesema ule ukiwa na dharura ! ! Njaa sio dharura ustaadhi?
katiza mbuga ya wanyama night kali uje kama binadamu analiwa au haliwi
 
watu wananyonya papuchi sembuse the kiti moto!! acha kabisa! roast na ndizi! ha ha ha its toooooo late mkuu mzizi mkavu acha watu wakonge roho zao.
 
Na Mimi ninafurahi Watu wengi wakila huyo Mnyama nipate kuwatibia Maradhi yanayotokana na huyu Mnyama waTaifa Aka Kitomoto Aka Mbuzi wa Kikatoliki.
mzizi,!baba yangu amekula hii kitu tangu mwaka 1950 wakati akiwa anafanya kazi misioni kwa bruda matiasi,mbona mpaka leo yuko fiti?
 
Dunia nzima wanapenda nyama ya "Mfalme wa mezani" na ukimuonja you'll never eat other meat. Ahsante Mungu kwa kutupa raha ya kumla huyu mfalme.
 
Back
Top Bottom