Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha JamiiForums inanipa raha sana kwa comments kama hiziKitu nampendea mnyama huyo ni ulaji wake. Yaani vile vitu katika Hali ya kawaida siwezi Kula huku vikiwa Na vitamini Na madini hitajika mwilini, mnyama huyu anavila kisha anavikonveti kuwa nyama yake Na mie nafaudu vitamini, madini Na utamu kupitia nyama yake.
Wacha watu wakatazane Kula ili mnyama asiwe adimu. Allahu Akbar Mungu Mkubwa katuletea mnyama