tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Baada ya tuhuma za wizi toka jirani yake, kesi ilifika kwa mjumbe.... mjumbe: ni kweli umeiba? Mnyakyusa: ndiyo nimeiba Mjumbe:narudia tena ya pili, kweli umeiba? Mnyakyusa: ndiyo nimeiba.....ndugu yake ikabidi amuulize kwa kilugha<ikolalosya ukuthi naloli gwiwhile?=anakuuliza ni kweli umeiba?> Mnyakyusa akajibu: keta ngokana okofuma litasi okote ngiwa?=mbona nakataa toka muda kwamba sijaiba?>> lugha gongana!!!