Mnofu Kwa Wenye Meno na Wasio nayo...boneless!!!!!!!

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
ri0to39028802.jpg
 
NI MAMA MTU MZIMA KABISA, DU KWELI SI MCHEZO tUTAFIKA LAKINI
 
nitumie kwenye PM contacts zake nikampongeze kwa kujaliwa nyamanyama mwilini

Jamani haya maisha tutafika, maana hiki ni kitu cha nguvu, duuu!! nimevuta pumzi mpaka karibu zikatike. anastahili kwanza mungu kupongezwa kwa kumuumba huyu mamaaa then wazazi wake kwa uamuzi wa busara wa kumzaa, maana huwezi jua mimba ingeweza kutolewa ikiwa na siku kadhaa, mwisho pongezi kwake kwa kujipenda na kupendeza, ningejua email yake lazime ningemtumia pongezi zake binafsi
 
Kama ni mama mtu mzima ndo yuko hivyo je alipokuwa binti alikuwaje, hapo tu kuna watu wanakimbilia bafuni!!



Hivi ni kwa nini wanaume tulipewa roho ya kutamani?Na tuwatamanio wameshajua sasa,kila siku inaibuka mitego mipya,tutaishinda ngwengwe kweli kwa mtaji huo?
 
Hivi ni kwa nini wanaume tulipewa roho ya kutamani?Na tuwatamanio wameshajua sasa,kila siku inaibuka mitego mipya,tutaishinda ngwengwe kweli kwa mtaji huo?

ndiyo maana nikikutana na mwanamke sigeuki nyuma kuangaia makalio yake, wameshajua udhaifu wetu, kazi yao ni kututesa tu.
 
Back
Top Bottom