Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Hii dunia watu wenye nguvu ni wenye pesa. Sio wenye elimu wasio na pesa, sio viongozi wa dini wasio na pesa.
Ukitaka kuwa na nguvu, tafuta pesa kwanza. Mkeo ukimfumania na mtu mwenye pesa akiwa anatoka hotelini, utashitakiwa kwa kupeleka fujo hotelini kwa watu.
Braza tafuta pesa. Pesa hainunui furaha, jidanganye na huo mfano kana kwamba umasikini unanunua furaha.
Hata wanasiasa mnaowaona wana nguvu, wapo chini ya watu wenye pesa. Ukiwa na pesa unapata nguvu, utaitawala dunia, utawaambia watu dunia ni duara na watakubali, utawaambia binadamu wa kwanza nyani nao watakubali.
Ukitaka kuwa na nguvu, tafuta pesa kwanza. Mkeo ukimfumania na mtu mwenye pesa akiwa anatoka hotelini, utashitakiwa kwa kupeleka fujo hotelini kwa watu.
Braza tafuta pesa. Pesa hainunui furaha, jidanganye na huo mfano kana kwamba umasikini unanunua furaha.
Hata wanasiasa mnaowaona wana nguvu, wapo chini ya watu wenye pesa. Ukiwa na pesa unapata nguvu, utaitawala dunia, utawaambia watu dunia ni duara na watakubali, utawaambia binadamu wa kwanza nyani nao watakubali.